Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Apewe muda. Ndio kwanza msimu wa kwanza huu. Usisahau pepe ana price tag ya 72M. Tusichukulie poa hiyo ni burden kubwa sana in today's footballHivi Pepe tumfanyaje wazee wangu, mbona kipaji kikubwa sana lakini hana njaa ya mafanikio km Waafrika wengine kina Auba, Mane,Sarr.
Huyu ni world class.Kepa anasugua hapa.
Bahati hiyo😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥Kieran Tierney v Man City:
100% tackle success
88% pass accuracy
40 touches
7 clearances
1 assist
Hapa shida ipo kwenye hii namba,Jamaa anajua sn.Kocha lazima achanganyikiwe kupanga, pia kocha wa makipa yupo poa sn anawafua vizuri vijana
3 zako zipo wapi?Dr Rashford anawaangaliaaaa halafu anasema hiiiiiiii.
Tukutane Fainali Chelsea tunampiga 5 kesho.
GGMU
Hili jambo kila siku nalisema, Pepe amefika Arsenal msimu WA kwanza amepitia kwa mako ha wa3 tofauti na kila kocha anampa mbinu zake,Apewe muda. Ndio kwanza msimu wa kwanza huu. Usisahau pepe ana price tag ya 72M. Tusichukulie poa hiyo ni burden kubwa sana in today's football
Nimezihifadhi kwa ajili yako kwenye Fainali.3 zako zipo wapi?
Pepe walimtia viatu sana , naona alianza kuogopaHivi Pepe tumfanyaje wazee wangu, mbona kipaji kikubwa sana lakini hana njaa ya mafanikio km Waafrika wengine kina Auba, Mane,Sarr.
Uliamini hatutoboi?Leo nimeamini, uchawi upo.
Ww na team yako bado ni viaziKlopp said during press against UCL final against madrid.
"We can not compete on the level of real Madrid BUT Tactics are there to bring a better opponent on their level, and when we are no their level level, we can beat them"
ndio kilichotokea leo
Tulia Nyumbu wewee.. Ngoja kesho Cheltako akutie kuni ukakune nazi mbele huko.Asenane bado ni takataka kama takataka nyengine tu
We ndundule ndio umeaandika nn kama siyo takatakaBring on Chelsea, Man Utd....... We just defeated Liverpool and Man City in one Week. Chelsea or Man Utd will fall too.