Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Apewe muda. Ndio kwanza msimu wa kwanza huu. Usisahau pepe ana price tag ya 72M. Tusichukulie poa hiyo ni burden kubwa sana in today's football
Hili jambo kila siku nalisema, Pepe amefika Arsenal msimu WA kwanza amepitia kwa mako ha wa3 tofauti na kila kocha anampa mbinu zake,
Unai
Freddie
Arteta
Hapohapo mumbuka amekuja katik ligi ngeni anahitaji muda kuizoea ligi na mazingira, lakini pia presha kutoka kwa mashabiki wenye mategemeo makubwa kutoka kwake, kutokana na timu kusuasua, kingine thamani ya pesa aliyonunuliwa vinamharibu kisaikolojia, huyu tumpe muda wa kutosha jamani, kwa mimi Hata misimu miwili nampa
 
#Arsenal vs Manchester City Player Ratings:

Martinez
: 10
Mustafi
: 9
Luiz
: 10
Tierney
󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿: 10
Bellerin
: 9
Ceballos
: 10
Xhaka
: 10
Maitland-Niles
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿: 10
Pepe
: 9
Lacazette
: 8
Aubameyang
: 10

Subs:
Willock
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿: 8
Torreira
: 8
Holding
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿: N/A
Kolasinac
: N/A
 
Asenane bado ni takataka kama takataka nyengine tu
 
Ww na team yako bado ni viazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…