Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Baadae mtakimbia jukwaa sababu kipigo ni haki yenu
 
Baadae lazima mtaongea lugha tofauti Mourinho anawasuka vizuri bila tatizo .
Taja timu ambayo haijawi kufungwa.mpaka arsenal akifungwa iwe ajabu..
Hata wewe ukitaka unashinda tu,au unasemaje.
 
Taja timu ambayo haijawi kufungwa.mpaka arsenal akifungwa iwe ajabu..
Hata wewe ukitaka unashinda tu,au unasemaje.
Hakuna team isiyo fungwa ila siku ya leo lazima mkalie naomba usiende angalia mpira na matokeo yako sababu hampati hata draw leo na Harry Kane anawatindua leo
 
Hakuna team isiyo fungwa ila siku ya leo lazima mkalie naomba usiende angalia mpira na matokeo yako sababu hampati hata draw leo na Harry Kane anawatindua leo
Kwani wewe hutaki kutia goli?...
 
Kipigo Kipo pale pale nyie takataka baadae msikimbie
 
Arteta leo anipangie Saka, pepe, Auba na Lacca kwa pamoja, Saka acheze 10 atanifurahisha sana.
 
Arteta leo anipangie Saka, pepe, Auba na Lacca kwa pamoja, Saka acheze 10 atanifurahisha sana.
Makocha walivyo unakuta unavyotaka wewe ndo haweki.. Unatamani hiyo nafasi upate wewe.

Ndo hivyo huwezi kumridhisha kila mtu!
 
Nina uhakika asilimia zote hii team yenu haiwezi kushiriki hata europa league kwa asilimia mia moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…