Katika mechi za 203 alizocheza lyon alifunga magoli 100,Sure, dah jamaa alikuwa moto sana. Mlifanya bonge la usajili kwa wakati ule.
Swali:- Lacazette alishawahi kuichezea timu ya taifa?
Sent using Cash Money Wings
£12,000 per months ni ndogo kwa maisha ya UK!! Labda ni ndogo kulinganisha na maisha ya wachezaji top wengine.Sawa na million 6 kwa wiki
Hela ndogo sana kwa maisha ya UK
Hata hivyo ndio mishahara ya watoto wa academy, maana amepandishwa Senior team Hata mwez haujaisha
Bado alikuwa anahesabika ni Academy player tu
NdiyoSure, dah jamaa alikuwa moto sana. Mlifanya bonge la usajili kwa wakati ule.
Swali:- Lacazette alishawahi kuichezea timu ya taifa?
Sent using Cash Money Wings
Ozil , tatizo ni mkewe anaweza kujifungua muda wowoteWakuu kiaje?
Team News:
Ozil hajasafiri na timu inasemwa anaumwa, hivyo Joe Willock huenda akaziba nafasi yake.
Matteo Guendouzi nae huenda akaanza mechi ya leo huku Lucas Torreira naeiakiwa ndio anafanyiwa ukaguzi wa mwisho kuamau kama aanze mechi au aingie kipindi cha pili.
Beki wa kati Pablo Mari nae huenda akacheza.
A must win game.
COYGs!!
Tunae mwenyeji wetu Sokratis beki wetu mshshara hapa mjini Piraeus, Athens.
Baada ya Mazoezi , Arteta akipiga stori na MustafiView attachment 1364296
Na amesharejea kikosi cha kwanza
Holding nasikia kashuka sana kiwangoNa amesharejea kikosi cha kwanza
Hivyo holding. ,Sokratis na Mari wapambane kumtoa
Ozil , tatizo ni mkewe anaweza kujifungua muda wowote
Ila kuna taarifa sina uhakika nayo nilisikia kasafiri
Kivyovyote naona kabisa Willock akianza au akiingia sub
Kama pale kati wataanza Xhaka & Gunduz
Bas #10 aanze Ceballos
LW Martinel CF Lacazette RW pepe
Kwangu mkuu naona kinachomuua Lampard ni Nepotism, Hivi mkuu unataka kuniambia kweli Odoi ana-potential kuliko Pulisic???, nachokiona kwa Odoi ni ile media hype tu bt Lampard anampenda sana huyu dogo pia kwa Mason Mount ndio kabisa moyo wa lampard unadundia pale...Dah lakini mkuu kumbuka LAMPARD amechukua timu ambayo mchezaji wetu tegemezi HAZARD aliondoka + Ban ya kutofanya usajili.
Pia Lampard amekuta timu ambayo viwango vya wachezaji masenior vimeshuka ALONSO, EMERSON, PEDRO, BATSHUAYI, DRINK WATER, BAKAYOKO, BARKELY n.k
Ikamlazimu LAMAPRD kutumia wachezaji madogo ambao hawana uzoefu wa epl wakina JAMES, TOMORI, TAMMY, ODOI, MOUNT.
Ndio maana uongozi wa Chelsea kwa kufahamu udhaifu wa kikosi ukampa Lampard mkataba kwamba msimu wa kwanza Lampard ahakikishe timu isishuke daraja.
Kwahiyo Lampard mpaka sasa kuwa top 4 ni amejitahidi, kuendelea kuwa kwenye mashindano ya UCL amejitahidi, kuwa kwenye mashindano ya FA amejitahidi.
Mpaka sasa LAMAPRD kwa Chelsea amekuwa kocha bora na amevuka malengo ya mkataba wake wa msimu wa kwanza, na sidhani kama timu itashuka daraja
Ila kwa msimu ujao ni sahihi kumsema, kumkandia, kumtukana endapo atapata matokeo ya ovyo, baada ya kujenga kikosi chake na hapo ndio mashabiki tutahoji mbinu zake.
Sent using Cash Money Wings
Pulisic nahisi ni majeruhiKwangu mkuu naona kinachomuua Lampard ni Nepotism, Hivi mkuu unataka kuniambia kweli Odoi ana-potential kuliko Pulisic???, nachokiona kwa Odoi ni ile media hype tu bt Lampard anampenda sana huyu dogo pia kwa Mason Mount ndio kabisa moyo wa lampard unadundia pale...
Majeruhi yamemuathiriHolding nasikia kashuka sana kiwango
Hapa lazima Mabaharia wa kigiriki wazame kwenye maji.Arsenal XI: Leno; Mustafi, Sokratis, Luiz, Saka; Guendouzi, Xhaka; Martinelli, Willock, Aubameyang; Lacazette