Arsenal (The Gunners) | Special Thread



Leo tena najaribu kuleta mtazamo wa mchezo wa timu hizi kukiwa kumesalia dakika kama arobaini hivi mchezo kuanza.



Samir ni mzuri kwenye kutumia mbinu , mwendo na muono na vitu hivi vinamfanya awe tishio lakini Ashley Cole ana nguvu na ni mwepesi na anao uwezo wa kwenda mbele na kurudi nyuma kwa kasi na mipira yake mingi ya cross huwa inamfikia Didier Drogba.



Sagna ni beki mzuri sana kwa sasa na hupenda kwenda mbele na cross zake mara nyingi huzaa matunda. Malouda ni mshambuliaji wa pembeni ambae hupenda kuwachanganya mabeki kabla ya kutoa pasi kwa washambuliaji ili wafunge na wakti mwingine hufynga magoli yeye mwenyewe.



Frank Lampard leo anarudi kwenye nafasi yake ya kiungo baada ya kukaa benchi kutokana na kuwa majeruhi. Lampard ana nguvu na ni mzuri kwa mashuti ya mbali na ni mpigaji mzuri wa mpira ya adhabu. Lampard ana uwezo wa kufungua ngome ya ulinzi na kufunga magoli huvyo kufanya kuwa mchezaji hatari sana.

Mtoto Wilshere nae amekuwa mchezaji mhimu kwa Arsenal msimu huu akisaidia pale ambapo Cesc Fabregas anapokuwa hayupo. Wilshere akikomaa alipokwenda kuchezea timu ya Bolton kwa mkopo ambapo alipigwa sana kiatu na kumfanya kuzoea mikiki ya ligi kuu.

Wilshere humsaidia Alex Song kwa kumiliki mipira na kuigawa mbele kwa Nasri na Arshavin na ana muono mzuri na utoaji wake wa pasi ni "superb"

 
List ya ushindi hii hapa:


Fabianski, Sagna, Koscielny, Djourou, Clichy, Song, Fabregas, Wilshere, Walcott, Van Persie, Nasri. Subs: Szczesny, Diaby, Rosicky, Squillaci, Arshavin, Chamakh, Bendtner.


mmchakamchaka wake sio mchezo leo.
 
TEAMS ARSENAL V CHELSEA:
Arsenal: Fabianski, Sagna, Koscielny, Djourou, Clichy, Song, Fabregas, Wilshere, Walcott, van Persie, Nasri. Subs: Szczesny, Diaby, Rosicky, Squillaci, Arshavin, Chamakh, Bendtner.
Chelsea: Cech, Ferreira, Ivanovic, Terry, Cole, Essien, Mikel, Lampard, Kalou, Drogba, Malouda. Subs: Turnbull, Ramires, Bosingwa, Van Aanholt, Bruma, Kakuta, McEachran.
 
Sijui kwanini squailacci kapigwa bench kama ni mzima Wenger ana lake jambo.niliangalia list haraka haraka sikugundua nimestuka sasa hivi kuona djouro na koscienly ndio wako.
 
Why Koscielny ahead of Squillac?? Theo to me is a supper sub with his pace.... Andrey Arshavin could start, The kid Wilshere is great but not in such Big games, Rosicky could use his experience.....Anyway, we shall see....God Bless Gooners
 
Johan Djourou, Van Persie na Walcott ni chaguo zuri sana. Wenger anataka magoli ya harakaharaka na ambapo Van Persie na Walcott wata-provide that.

Johan ni mzuri zaidi ya Squillaci kwani yeye ana physical presence na ni makini ukilinganisha na Squillaci ambae huwa wakti mwingine anagongana na Koscielny na kusababisha mtafaruku kwenye eneo la 18 la Arsenal.
 
Sijui kwanini squailacci kapigwa bench kama ni mzima Wenger ana lake jambo.niliangalia list haraka haraka sikugundua nimestuka sasa hivi kuona djouro na koscienly ndio wako.

This is what makes me sick......Anyway he knows them better than we do....Technical may be.....they are plan B in case plan A fails....
 

It happened once against FULHAM. It was a bad Luck...I dont think if its Ok!!! I wud prefer Djourou and Squillac than Koscielny...
 
Why Koscielny ahead of Squillac?? Theo to me is a supper sub with his pace.... Andrey Arshavin could start, The kid Wilshere is great but not in such Big games, Rosicky could use his experience.....Anyway, we shall see....God Bless Gooners

Arshavin alikuwa na poor form pale Old Trafford na mzee Wenger ametambua hilo. Unajua katika mechi kama hii mwelekeo wa mchezo unatakiwa ule na "good finishing" na Arshavin alipoteza mipira mingi sana dhidi ya Man U na leo ni vizuri akaja kipindi cha pili.
 
Johan ni mzuri zaidi ya Squillaci kwani yeye ana physical presence na ni makini ukilinganisha na Squillaci ambae huwa wakti mwingine anagongana na Koscielny na kusababisha mtafaruku kwenye eneo la 18 la Arsenal.

Tatizo sio djouro ,tatizo Koscienly.Squaillaci katulia sana pale nyuma kutokana na experience mkuu.Koscienly hana experience ya kutosha ndio maana unamuona anatetemeka mara nyingi na kuchanganyikiwa pale nyuma.
 

Dont u think a game like this needs UZOEFU?????? The ability of Theo and Arshavin on turning the game round at anytime I dont think its s'thing undebatable.....Au????????
 
kwenye swala la kumuanzisha walcott mbele ya Arshavin ni safi sana kutokana na perfomance ya arshavin mechi ya mwisho.

Bora Arshavin aje kama super sub kama walcott kashindwa kufanya mambo.
 
Didier Drogba amefunga magoli 13 kwenye mechi 13 ambazo Chelsea imecheza na Arsenal kwa hio leo Wenger ameagiza Drogba awekwe kapuni.
 
Dont u think a game like this needs UZOEFU?????? The ability of Theo and Arshavin on turning the game round at anytime I dont think its s'thing undebatable.....Au????????

Mkuu hapa walcott anaweza kusaidia kwenye pace na kama hatoweza kufanya vituz arshavin atakuja kubadirisha game.
 
Tatizo sio djouro ,:whoo:.Squaillaci katulia sana pale nyuma kutokana na experience mkuu.Koscienly hana experience ya kutosha ndio maana unamuona anatetemeka mara nyingi na kuchanganyikiwa pale nyuma.

sure......:hug:
 
Mkuu hapa walcott anaweza kusaidia kwenye pace na kama hatoweza kufanya vituz arshavin atakuja kubadirisha game.

Pace is Good when pipo are TIRED....Sio game inaanza.......Anyway we wont change a thing.....lets see....its some minutes to Go...
 
Dont u think a game like this needs UZOEFU?????? The ability of Theo and Arshavin on turning the game round at anytime I dont think its s'thing undebatable.....Au????????

In assessment point of view ni kwamba kwenye mechi ya Arsenal na Braga Walcott aliingia kipindi cha pili na kufunga goli la kusawazisha na kubadilisha mchezo hadi kuweza kuwafunga ile timu na mpaka anaingia Arshavin alikuwa bado ana poor form. Sasa wakasema labda Arshavin atafanya vizuri zaidi pale Old Trafford na matokeo yake yakawa bure. Sasa ni afadhali kuanza na Walcott ambae kasi yake itasaidia
na Arshavin aje kipindi cha pili leo tunataka ushindi.
 
Arsenal manager Arsene Wenger: "It is a big game but the players sometimes think they have to be exceptional in big games - sometimes they need to focus on doing the basics right."
 
Wacha1 yu wapi?, nimemwagiza uzi wa Gonaz hajaleta hadi dakika hii.
 
There are currently 14 users browsing this thread. (4 members and 10 guests)
Nyie ArseNOOls fans, mmesahau password zenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…