Hawezi kukuelewa!.. Yaani hata hajifikirii jukwaa lote hili hakuna anayempa sapoti!.. Uungwana ni vitendo, watu wamepiga kelele hapa aandike kwa herufi ndogo maana maherufi makubwa yanakera lakini kagoma! Sasa phycologically huyu ni ana matatizo kichwani!.. Mimi nilianza kumpuuza baada ya kukataa kubadili kitu kidogo tu kama maandishi, nikagundua huyu hashauliki, hataki kuonekana hajui!.. Mimi huwa sijibu au kuchangia post zake siku hizi maana hataki ushirika mwema na sisi wana Gunners!.. Yaani kitu kidogo tu hata kubadili maandishi tu kagoma, sasa ni mtu wa namna gani huyu?
Sent using
Jamii Forums mobile app