Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawezi kukuelewa!.. Yaani hata hajifikirii jukwaa lote hili hakuna anayempa sapoti!.. Uungwana ni vitendo, watu wamepiga kelele hapa aandike kwa herufi ndogo maana maherufi makubwa yanakera lakini kagoma! Sasa phycologically huyu ni ana matatizo kichwani!.. Mimi nilianza kumpuuza baada ya kukataa kubadili kitu kidogo tu kama maandishi, nikagundua huyu hashauliki, hataki kuonekana hajui!.. Mimi huwa sijibu au kuchangia post zake siku hizi maana hataki ushirika mwema na sisi wana Gunners!.. Yaani kitu kidogo tu hata kubadili maandishi tu kagoma, sasa ni mtu wa namna gani huyu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu tumchunie tu mkuu. Hakuna haja ya kujibu michango yake kama tu mwandiko hataki kubadili.
 
Na wewe tushakuchoka hata ikishuka daraja wewe unaichangia bei gani? Wote tunajua timu inaihitaji kusajili hata kocha mpya analijua hilo, hata Unai naye alisajiri hao akina torreira na tierney, Pepe kashindwa kuwatumia ndo maana tumefika hapa tulipo kwa hiyo unapoambiwa kuwa muelewa punguza gubu, maana hata ukipiga kelele hama hamna kitakachobadilika zaidi ya kuwakera wengine tu
Huyo anataka wanaume,nikimwambia aweke namba za simu wanaume wamtafute hataki.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arsenal ipo kwenye mazungumzo ya kina kumsajili beki wa kati mwenye umri wa Miaka 22


Gabriel dos Santos Magalhaes anayetumia mguu wa kushoto (LCB)


Kutoka Lille ambaye kabakiza miez 18 kwenye mkataba wake

ARTETA amesema anahitaji LEFT CENTER BACK , PIA CENTRAL MD , NA LEFT BACK
 
Arsenal ipo kwenye mazungumzo ya kina kumsajili beki wa kati mwenye umri wa Miaka 22


Gabriel dos Santos Magalhaes anayetumia mguu wa kushoto (LCB)


Kutoka Lille ambaye kabakiza miez 18 kwenye mkataba wake

ARTETA amesema anahitaji LEFT CENTER BACK , PIA CENTRAL MD , NA LEFT BACK
Naona Arteta yupo serious!.. Tutarajie ingizo jipya hii Januari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arsenal ipo kwenye mazungumzo ya kina kumsajili beki wa kati mwenye umri wa Miaka 22


Gabriel dos Santos Magalhaes anayetumia mguu wa kushoto (LCB)


Kutoka Lille ambaye kabakiza miez 18 kwenye mkataba wake

ARTETA amesema anahitaji LEFT CENTER BACK , PIA CENTRAL MD , NA LEFT BACK
Vip Saliba haji January hii?
 
Huyo bwana ni conservatism balaa! na anafikiri anajua kuliko watu wote hapa!..

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa anataka aamke akute timu inaongoza ligi

Hii ni project na inahitaji muda ,kocha a implement Tactic zake , then aingize watu anaoona wanafaa


MSIKIE KLOPP HAPA AKIMZUNGUMZIA ARTETA MAANA NA YEYE KAPITIA HALI HIYO HIYO LIVERPOOL

Jurgen Klopp:

"Arsenal, for example, are a team offensively that are still a really good side but defensive organisation doesn’t work out yet. The moment they sort that, they make the next step."

The club need to back Arteta properly.
 
Soon

Kurzawa could join Arsenal In the next few days

[@le10sport]
IMG_20200117_144843.jpeg
 
Na wewe tushakuchoka hata ikishuka daraja wewe unaichangia bei gani? Wote tunajua timu inaihitaji kusajili hata kocha mpya analijua hilo, hata Unai naye alisajiri hao akina torreira na tierney, Pepe kashindwa kuwatumia ndo maana tumefika hapa tulipo kwa hiyo unapoambiwa kuwa muelewa punguza gubu, maana hata ukipiga kelele hama hamna kitakachobadilika zaidi ya kuwakera wengine tu
OK SAWA WATU WAPUMBAVU KAMA WEWE JIBU NI HILI TU OK SAWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo anataka wanaume,nikimwambia aweke namba za simu wanaume wamtafute hataki.....

Sent using Jamii Forums mobile app
HAHAHA NASHUKURU CONTENTS ZANGU UNAZIELEWA ILA UNASHINDWA KUJA NA FACTS UNAISHIA KUNITUSI HAHAHAHA UKWELI NI KUWA SISI HATUNA CHA KUJIVUNIA ILA SABABU TUNAPENDA MPIRA TUTAENDELEA KUANGALIA MECHI ZA ARSENAL SABABU NI TIMU YETU PENDWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheffield United boss Wilder on Arsenal

"We've looked statistically at their game and they’ve upped in many areas, in terms of duels won and distances covered. And in the games we’ve watched since Arteta took charge, they look more structured and difficult to break down."
 
Arsenal wanaipambania saini ya Layvin Kurzawa kutoka PSG.

The Gunners wapo kwenye mazungumzo ya hali ya juu ili kuinasa saini ya beki wa kushoto wa PSG Layvin Kurzawa Januari hii.

Hii inachagizwa na wimbi kubwa la majeruhi yanayowasumbua mabeki wa Arsenal kama Kieran Tierney na Sead Kolasinac.

Kurzawa mwenye umri wa miaka 27 anapatikana kwa usajiri wa bure wakati mkataba wake utamalizika mwishoni mwa msimu huu, lakini the Gunners wanaripotiwa kutaka kumsaini mara moja kwa matumaini kuwa ataweza kusaidia safu ya ulinzi ilopo kwasasa, hivyo hawatosubiri hadi mwisho wa mwisho.

Mkurungezi wa soka wa Arsenal, Raul Sanllehi ndiye anaongoza mazungumzo ya dili hili kukamilika, na majadiliano muhimu yalifanyika jana Alhamisi.

Wawakilishi wa Arsenal walimtazama Kurzawa katika ushindi wa PSG wa 4-1 dhidi ya Monaco wiki hii, na wana uhakika wa kukamilisha usajili huu Januari hii.
IMG_20200117_144843.jpeg
 
Transfer Cheker | Arsenal wameanza hatua ya kwanza ya kuiwinda saini ya Kiungo wa Atletico Paranaense, Bruno Guimarães mwenye umri wa miaka 22. Ambapo wanategemea kutoa dau ndani ya siku zijazo.
Wakala wa Bruno ni Bertolucci Sports, ambao wana mahusiano mazuri na Edu. Pia wakala Kia Joorabchian (alihusika kwa Martinelli pia) anahusika kwa nafasi kubwa katika dili hili.

Raisi wa Atletico Paranaense alithibitisha kwamba amearifiwa kwamba Arsenal itatuma dau kumnasa Bruno mwisho wa msimu lakini inaonekana tunamtaka mapema .
IMG-20200116-WA0030.jpeg
 
Baada ya Arsenal Ku appeal Red card ya Auba japo ni kweli alistahili red card ,

Ila Arsenal ilipeleka ushahidi wa matukio mengine kama yale lakini VAR haikuamua kutoa Red card .

Sasa FA chama cha soka England kimekuja na Suluhisho kwa marefa kutumia Monitor iliyopo uwanjani kujiridhisha .
IMG_20200117_164330_607.jpeg
 
ARSENAL VS SHEFFIELD_UNITED

Stadium: Emirates_stadium
Time : 18:00EAT(kesho)

mtazamo wangu ni huu hapa

kati ya game ngumu basi hii ni moja wapo licha kwamba tupo nyumbani hii team ya sheffield imejengeka mno kwa misingi ya kiulinzi

yani wapo #organised sana ni kati ya team ambazo ni ngumu kuzifunga wakicheza counter attacks na kwa haraka mno

ukifatilia trending yao ya matokeo sio mbovu je kipi kifanyike upande wetu tuweze pata matokeo chanya

kwa vile hawa jamaa wapo well organised in defending basi tunatakiwa kuwalazimisha kucheza tunavyohitaji sisi

kadri unavyoongeza flow ya team in attacking minded ndio unaruhusu makosa mengi yatokee kwa mpinzani hvyo

tunatakiwa kushambulia kwa mda mrefu zaidi hii itatupa haueni kublock defence yao pengine itatusaidia kuwanyima wao uhuru wa kukaa na mpra

kwa vile ni wazuri kwenye counter attacks basi tunatakiwa kufanya quick pressing na ground coverage kubwa kuwanyima nafasi wao kupiga mipira mirefu hiyo

natumai kocha anajua cha kufanya ndio bila wasi wasi ila inabidi tuwe makini zaidi kiuchezaji

#Hatutoki_na_hatuhami
IMG_20200115_184716.jpeg
 
Back
Top Bottom