Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu huyo jamaa kazidi, nafikiri anahitaji ushauri nasaha. Ukipitia comments zake hupati shida kujua kama ana matatizo kubwa...
Burudani yenye maumivu Brother,Hakuna shabiki ambaye ataburudika wakati timu yake inafanya vibaya otherwise uwe huna PASSION na timu yako kutoka ndani ya Moyo.
Hakuna maumivu makali kama ya Football kwa sisi wenye Passion na huu mchezo.
 
Nilikushauri upunguze kubet, vinginevyo unaelekea kujinyonga km mdau mmoja alivyotahadharisha...maana hujielewi...mambo ya kipuzi/ kawaida unamshirikisha Mungu.!! Eti Mungu asaidie! Akili yako haina akili
WEWE NI MPUMBAVU ANGALIA SASA WEWE NI MTOTO WA JUZI TUNABISHANA UNAFIKIR MIMI NA MAWAZO YA KUBET YAANI UJINGA UJINGA TU HAPA TUNAZUNGUMZIA MATOKEO YA MPIRA MAMBO YA BURUDANI KATAFUTIE CHUMBANI KWAKO NA MPENZI WAKO

SISI TUMEANZA KUPENDA MPIRA HATA MAMBO YA KUBET HAMNA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aubameyang amekuwa mchezaji wa tatu wa Arsenal kufunga goli na kuoneshwa Red Card kwenye mechi moja ya Premier League. Mara ya mwisho kwenye tukio kama hilo alikuwa ni kocha wa sasa Mikel Arteta dhidi ya Crystal Palace mwaka 2013 kwenye uwanja huu huu wa Selhurst Park.
EOAbJxzXsAAY0w7.jpeg
 
TATHMINI YANGU BINAFSI

BIG UP MARTINELLI BADO NAMUAMINI SANA HUYU MTOTO YAANI NI FIGHTER SANA DOGO KAINGIA DK 68 ILA KACHEZA KUPITA HATA WALIOANZA

ARTETA ANAUJUA MPIRA NA NI BONGE LA KOCHA LICHA LEO TUMECHEZA PUNGUFU KWA DK 20 ILA BADO MECHI NZIMA CRYSTAL PALACE KAATEMPT MARA 6 PEKEE ILA ATAANGUSHWA NA HIKI KIKOSI LAZIMA ASAJILI AINGIE SOKONI AUBA NA TOREIRA HAO WASHAKUWA NJE YA KIKOSI BALAA LAZIMA ALIPATE TU

ARSENAL INA FIRST ELEVEN NZURI ILA BACK UP PLAYERS HAINA MFANO WA AUBA NA TOREIRA HANA ILA YOTE HERI BORA SARE KULIKO KUPOTEZA

LACA SIJUI HATA KAMA GOLI 5 KAFIKISHA LICHA ANAFIGHT ILA NI LAZIMA AANZE KUFUNGA MAGOLI MAANA NDO KAZI YAKE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom