Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Haya katoeni £80m kwa Wilfred Zaha
Haya katoeni £80m kwa Wilfred Zaha
Zaha kabadilisha hadi Wakala apate klabu kubwa , Palace wanataka £80m ,ila vilabu vya EPL vinakaa mbali naye ,Huyo jamaa staki kumsikia kabisa. Willan mzee ni bora kuliko machachari Zaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Baryen Jana wamemtaka kwa mkopo ,palace wamekomaa £80m , baryen wamesema hawawez kufanya huo ujingaHiyo bei kubwa Palace wangemuuza £50M wangepata wateja. Ukiona mchezaji club kama Madrid na Barcelona hawana time naye, wala hawana tetesi naye, jua kiwango chake ni questionable.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana kiburi maana Zaha mwaka Jana alijichanganya akasaini mkataba wa miaka 5
Naona lampard hataki kupigwa ovyo kwenye usajiriDah timu yangu isajili tuu. Haya marudiano na Arsenal itukute tuna silaha mpya za kivita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Joao Felix anasema amekumbuka Benfica
Inaonesha Simeon soka lake limekuwa gumu kwa hawa vijana
Ila kwa rekod zake hapo ATM huyu Lemar , labda aje mkopo kwanza with option to buy.
Sio mbahili , anaonekana hataki kupigwa ,
Sasa hivi ana 27yo + 4years ya katika mkataba wake = 31yo
Ndio maana kamtimua wakala wake na kumuajiri Pin zahavi ,Sasa hivi ana 27yo + 4years ya katika mkataba wake = 31yo
Kwa umri huo mawinga wanakuwa washachoka tayari.....
Hahahahaha alishajikoroga mwenyewe so maisha yake ya mpira yanaishia Crystal Palace huyo.....
Sent using Jamii Forums mobile app
xhaka kimsingi ni miongoni mwa wachezaji ambao wamepitia criticize kubwa sana toka kwa mashabiki wa Arsenal tena maximum extent hadi kutishia usalama wake je wajua?
xhaka sio mchezaji mbaya ila kuna ubaya unaletwa na jinsi gani mtu anatumika kimchezo xhaka hayupo njema 100% in defending capability tena kwa kufanya ground_coverage hii kazi ya torreira
lakini xhaka akitumika kama DM kulinda back 4 chini ya Kocha UNAI EMERY ni ngumu mno wakati huo huo akipewa partineship na guendouzi ambae pia sio mkabaji ni attacking minded player
kinachokuja kutokea ni gape kati yao hakuna marking wala collective performances team inakosa kabisa uwiano
basi watu tukasahau yote, Xhaka ni mzuri mno kwenye distribution passess zile diagonal pass zake na kuattempt kulimfanya tumuite xhakaboom,
ok pengine labda tulirihusu hisia zitawale maamuzi lazima tupate kitu sio sahihi je xhaka huyu chini arteta kaweza vipi
xhaka akicheza na torreira anakuwa confortable sababu huyu anampa usaidizi mkubwa sana na kumfanya xhaka afanye kile ambacho ndio uwezo wake.
sijawahi mchukia xhaka licha kwamba kila mchezaji na mapungufu yake lakini bado ni mtu akiwa kwenye peak
nimalize kusema shukrani arteta kuprove players works on tactics , maana Sikuwahi kuamini hata siku moja kuwa Xhaka ni DM , huku Lucas Toreira akipigwa benchi na akicheza bas atapelekwa Attacking side au Box to Box Midfield .
note: huu ni mtazamo kulingana na kauli mbali mbali za viongozi akiwepo pia head coach Mikel Arteta ,
head of football Raul sanheil alizungumza na kusema hili dirisha ni ni tactical sana kwa sasa ,
na possibility kubwa iliyopo ni usajili wa mkopo ( loan deals) tunalazimika kuziba mapengo kuliko kuongeza depth nafikiri unaweza kunielewa kiasi
hivyo jambo la msingi zaidi ni kumpa muda kocha wetu kutengeneza ambacho tunacho tayari usajili, tu sio mafanikio tosha kama huna strategies sahihi kimbinu na kiuchezaji, Tuneona kwa Emery dirisha kubwa alipewa kiasi cha £137m afanye usajiri , lakini kukosa mbinu , mfumo na falsafa ., Usajiri kwake ulionekana si chochote.
kocha kwasasa ana build culture sio jambo jepesi , tupunguze matarajio kuna wenzetu wanawahi sana kupaniki .
game ya Leeds first half nilipitia comment sehemu mbalimbali , so sad kiukweli ila after final result wakapotea nazungumza nini mpira ni mbinu kila team inakuja kucheza sio sisi tu.
usajili mkubwa ninafikiri pengine ukafanyika Summer baada ya ku offload baadhi ya wachezaji, na kupunguza Wage bills ambayo inaonesha ni kubwa kuliko mapato, hivo Hii itakuwa kama msimu uliopita , dirisha la January Ilifanyika sajiri 1 ya loan with option to buy.,na Summer ndipo ukafanyika usajiri mkubwa.
maana kauli ya sanleh ni ile ile ya msimu jana january alipo letwa denis suarez on loan
tusubir nini kitajiri tufatilie pia post match conference za kocha hasa ya Leo kujua team ina plans gani.BILA USAJILI HATUTAENDA POPOTE PALE SIONI TAAARIFA ZA WILLOCK NELSON MATTEO ELNENY MUSTAPHI KUUZWA AU KUPELEKWA KWA MKOPO BILA HVYO SARE NA VIPIGO TUTAPOKEA TUKWA TAARIFA TU ZILIZOPO TUSITEGEMEE USAJILI MKUBWA JANUARY
note: huu ni mtazamo kulingana na kauli mbali mbali za viongozi akiwepo pia head coach Mikel Arteta ,
je nazungumza kitu gani ni hiki hapa
head of football Raul sanheil alizungumza na kusema hili dirisha ni ni tactical sana kwa sasa ,
Team pengine inafocus kuona inaziba vipi pengo la chambers aliyeumia bad injury.
na possibility kubwa iliyopo ni usajili wa mkopo ( loan deals) tunalazimika kuziba mapengo kuliko kuongeza depth nafikiri unaweza kunielewa kiasi
hivyo jambo la msingi zaidi ni kumpa muda kocha wetu kutengeneza ambacho tunacho tayari usajili, tu sio mafanikio tosha kama huna strategies sahihi kimbinu na kiuchezaji, Tuneona kwa Emery dirisha kubwa alipewa kiasi cha £137m afanye usajiri , lakini kukosa mbinu , mfumo na falsafa ., Usajiri kwake ulionekana si chochote.
kocha kwasasa ana build culture sio jambo jepesi , tupunguze matarajio kuna wenzetu wanawahi sana kupaniki .
game ya Leeds first half nilipitia comment sehemu mbalimbali , so sad kiukweli ila after final result wakapotea nazungumza nini mpira ni mbinu kila team inakuja kucheza sio sisi tu.
usajili mkubwa ninafikiri pengine ukafanyika Summer baada ya ku offload baadhi ya wachezaji, na kupunguza Wage bills ambayo inaonesha ni kubwa kuliko mapato, hivo Hii itakuwa kama msimu uliopita , dirisha la January Ilifanyika sajiri 1 ya loan with option to buy.,na Summer ndipo ukafanyika usajiri mkubwa.
maana kauli ya sanleh ni ile ile ya msimu jana january alipo letwa denis suarez on loan
tusubir nini kitajiri tufatilie pia post match conference za kocha hasa ya Leo kujua team ina plans gani.
#Hatutoki_na_hatuhamiView attachment 1317530
Usajiri gani mkuu unataka ?BILA USAJILI HATUTAENDA POPOTE PALE SIONI TAAARIFA ZA WILLOCK NELSON MATTEO ELNENY MUSTAPHI KUUZWA AU KUPELEKWA KWA MKOPO BILA HVYO SARE NA VIPIGO TUTAPOKEA TU
TUNA MECHI AWAY NA CITY BILA USAJILI TUTAPIGWA KIPIGO HEAVY
TUNA MECHI EMIRATES NA LIVERPOOL BILA USAJILI TUTAPIGWA KIPIGO HEAVY
TUNA MECHI AWAY NA CHELSEA BILA USAJILI TUTAPIGWA KIPIGO HEAVY
PIA BADO TUNA MECHI NGUMU EPL KAMA UNAVYOJUA LIGI HAITABIRIKI HII HVYO KUSEMA UNATEGEMEA HAO WA JUU NAAPA MSIMU HUU HATA TOP 10 TUTAIPIGANIA KWA KUSHIKA KAMBA
UKWELI LAZIMA USEMWE TUSIJIPE MOYO NA HATA HII MECHI YA JMOSI YA CRYSTAL PALACE AWAY BADO NI NGUMU SABABU TUNA WACHEZAJI BAADHI WAZURI ILA SI KILA SIKU LAZIMA AWE BORA WANAHITAJI WASAIDIZI ILA KAMA WASAIDIZI WENYEWE NDO HAO JUU SIONI KIPYA MSIMU HUU
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unapata tabu,maana huyu ndugu yetu yeye inapaswa uwe na TEACHING AID ili akuelewe walau kidogo, bila kusahau MBINU SHIRIKISHI ZA UJIFUNZAJI la sivyo anatoka kapa.Usajiri gani mkuu unataka ?
Nelson ,saka , Martinel hawatatolewa kwa mkopo
Hata kilaza willock hatolewi kwa mkopo. Ni chaguo la 3. Kuna Ozil ,ceballos hawa ndio Regular
Neny., Micky wapo loan watauzwa January hii au summer , mustafi kashabadilisha na wakala anasepa , ni chaguo la 3 had la 4
Usajir January ni mgumu na Arsenal wamesema ni tactical hivo watasajiri 1-2 ,
Summer ndio dirisha la kuspend na kuwapata target .
Tusilaumu kila jambo , January hii unasajilije wachezaji 5 ? Wakati summer timu imetoka kutumia £140m , lazima ifanye ku punguza watu na wage bills ili summer irud sokon tena .
Usajiri pekee sio suluhisho ,mbona hujiulizi , Emery alisajiri wachezaji karibu 7 matokeo yake alikuwa anaipeleka klabu shimon?
Tactic , na Ku implement mbinu zikae kwa wachezaji ndio jambo la muhimu
Arsenal haina wachezaji wabovu kama unavyoamin ila ili kosa mwalimu
Wachezaji wanaoongezwa ni nafas ya beki 1 na kiungo 1 bas , Tatizo lipo wapi?
Huwez kumtoa mkopo nelson ambaye Mwalimu kasema anamuamini
Nelson, Gunduz ,ceballos , martinel ,saka wana ubaya gan kama backup ?
Saka anacheza LB akimsaidia kolasinac ,
Nelson anacheza RW akimsaidia pepe
Martinel anacheza LW na CF akimsaidia Auba na Laca
Ceballos amerud anacheza CM na AM akiwasaidia Xhaka na Ozil
Belle amerud kumsaidia Niles ambaye tayari ameshaingia kwenye mfumo wa mwalimu , na ndiye amekuwa chaguo la kwanza.
Mustafi ANAONDOKA , willock yupo hawa ni machaguo ya 3-4
Usajiri wamesema ni wawili au mmoja
Summer ndio wata spend , tatizo lipo wapi? Rejea last season?
Nadhan hajamsikiliza Arteta , angalia Chelsea ,man u, tot bado hawajasajiri , usajiri una mambo mengi ,Mkuu unapata tabu,maana huyu ndugu yetu yeye inapaswa uwe na TEACHING AID ili akuelewe walau kidogo, bila kusahau MBINU SHIRIKISHI ZA UJIFUNZAJI la sivyo anatoka kapa.
Anajua kila ikifika kipindi cha usajiri basi lazima timu inunue rundo la wachezaji bila kuzingatia mahitaji wala sheria na kanuni mbalimbali zilizowekwa......
FFP unaijua?
Sent using Jamii Forums mobile app