Mwenye updates za hali ya mazoezini atupe muongozo jinsi gani wachezaji wetu wanavyomsikiliza kwa umakini na kumtii Arteta ikiwezekana na vipicha kidogo.
Hahaha acha waendelee kucheka cheka tuu afu watushushe daraja msimu huu watakiona Cha mtemakuniKwanza wachezaji wote walimpokea rasmi Dani Ceballos ambae huenda akacheza kesho.
Ndo maana nkasema hivi Arteta sijamkataa kabisa labda hukunielewa Pep Zidane hao uliowataja walipewa timu gani na zenye wachezaji wa aina gani na background yake ipoje?
Arteta kapewa Arsenal ambayo inaendelea kuzama yeye mwenyewe mechi 2 hajashinda sababu haieleweki either wachezaji wabovu au yeye mwenyewe hana experience sio kocha mzuri
mfano Everton ANCELLOTI kacheza mechi 2 na ameshinda zote mbili sababu ni ana experience na anaujua mpira na keshabeba EPL hvyo sio mbahatishaji linaeleweka
Hvyo hata sisi hatuna uhakika na Arteta na tumebaki kuweka hisia zaidi na zaidi kuwa tumpe muda mara mpira wake mzuri tunaishia kujifariji tu bila sababu
Mimi NINGEKUWA NDO CEO WA ARSENAL NIGEMBEBA ANCELLOTI HATA KWA MWAKA 1 MPAKA NIKAE SAWA THEN ARTETA ANGEKUJA WAKATI NIMEKAA SAWA KITIMU ILA KWA SASA NGOJA TUONE HADI MARCH NINI KITATOKEA SABABU BODI INAPENDA VITU RAHISI NA HAWAJUI MPIRA NDO MAANA HAYA YOTE YANATOKEA
LAZIMA TUAMBIANE UKWELI MASHABIKI TUSIPEANE MOYO WA KIJINGA ARTETA NI KAMA KAMARI TUMECHEZA WAKATI TIMU NI MBOVU NA HATUJUI EXPERIENCE YAKE IPOJE
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ujinga huu wa kila siku, atachoka aende zake. Effort kubwa alafu anaona inaenda bure.Auba asiondoke ndiye roho ya timu jamani
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umesahau kuweka na Var mchezaji wa 13 wa liverpool
Ila ww si Auba...Kwa ujinga huu wa kila siku, atachoka aende zake. Effort kubwa alafu anaona inaenda bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo halina ubishi,Mkuu Dully Yale manyumbu lazima tuyale nyama ..hatuwezi kupigwa Mara mbili sisi ..tena mbele ya Arteta!!! Nooo ..zile mama united apo jtano tunaliza ...
Kila la kheri Arsenal..
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ipo shida mahali.Ishu sio makombe kama ni hvyo ASTON VILLA ni kubwa kuliko sisi sababu kombe kubwa ni champions league Arsenal sasa ikipangwa na timu yoyote wanafurahi ila ukiambiwa WOLVES umepangwa nayo hulali kama WOLVES anagombania top 4 na sisi tunaelekea kushuka Daraja ndo maana nkahitimisha WOLVES ni kubwa kuliko sisi Arsenal kwa sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu upamecano naskia ni injury prone mzuri tu.Usajili News: Arsenal wapo busy.
Upamecano atagharimu milioni 45
Rabbiot kwa mkopo
Saliba huenda akaitwa baada ya Calum Chambers kuumia goti.
Arsenal ikishindwa kumpata Upamecano basi itaangalia uwezekani wa kumsajili Mkoba wa Torino Armando Izzo.
Izzo
Ila priority ni Upamecano kwanza.
Hilo hatuwazii, Akienda tunashusha kifaa kingine, kama Sanchez thn tukashusha Auba.Kwa ujinga huu wa kila siku, atachoka aende zake. Effort kubwa alafu anaona inaenda bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti Nyumbu na wewe unapiga mkwalaUsiku wa deni haukawii kucha
GGMU