Tumwamini kocha tumpe mda arsenal wachezaji wengi wanaleta ubishoo tu pasi nyingi ambazo hazina madhara yoyote kwa mpinzani
Kama kwenye usajili arteta akipatiwa watu anaowahitaji na tusipoona mabadiliko yoyote walau ndani ya misimu miwili hapo sasa itabidi tuanze kuhoji uwezo wake
Ila kwa Sasa kocha apatiwe mda atengeneze timu yake mwenyewe apatiwe na resources za kutosha ili tumuhukumu vizuri
Uyu willock ****e