Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
France Football claim that Mikel Arteta has told the Arsenal board that he wants to sign a #6 & 2 central defenders next month.
hii deal ngumu kwa January atakama ataondoka kwa pesa ndogo.The Athletic saying Upamecano is unlikely in January.![]()
Anafata nyayo zake
Huyu Mousa Dembele vipi ana kiwango cha kulibgana walau na Auba au Lacca?..le10sport EXCLUSIVE:
Arsenal expect a major departure - with Lacazette or Aubameyang expected to leave either next month or in the summer. Lyon's Moussa Dembele has been made a priority by Arsenal's hierarchy, with the club willing to pay price demanded.
View attachment 1302378
Huyu jamaa hata Chelsea nasikia mnamuhitaji , anatajwatajwa sana

Mikel Arteta — head coach
Freddie Ljungberg — asst. coach
Albert Stuivenberg — asst. coach
Steve Round — asst. coach
Iñaki Caña Pavon — goalkeeping coach
#AFC
Bora Gunduz sio willock, though willock sio mbaya ila bado ana utoto, huyu apigwe loan kwanza Paka akili imkae sawa.The Athletic | For some weeks now, Arsenal have deemed central midfield to be an area in need of urgent attention, and Arteta is expected to concur with that assessment. While hopes remain high for Guendouzi and Willock, there are doubts over the future of the other three CM's.
Duuuuh ! Upamecano huyu ndio alikuwa anarudisha Moyo wangu kwa hii timu,hapa nipo disappointed km tusipompata.The Athletic saying Upamecano is unlikely in January.![]()
Kwa January ngumu kumpataDuuuuh ! Upamecano huyu ndio alikuwa anarudisha Moyo wangu kwa hii timu,hapa nipo disappointed km tusipompata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kheri ya krismass na kwako pia mkuuUsajili news:
Wakuu habari za mkesha wa xmas na natumai kila alie mkristo atamkaribisha mtoto Yesu ambae ndo kwanza ana siku moja tangu amezaliwa huko Bethlehemu.
Ilikuwa ni baada ya wazazi wake Bi Mariam na bwana Joseph kutembea umbali mrefu kutoka Nazareti wakitafuta hifadhi ya kumpokea mtoto Yesu.
Sasa tukisherehekea sikukuu hii ya mwisho wa mwaka siku inayofuata wana Gunners tutakuwa tukiiangalia Arsenal ilozaliwa upya baada ya kumkaribisha kocha mkuu mpya bwana Mikael Arteta.
Arteta amekwishatoa mwongozo kwa wachezaji kwamba anataka wachezee vipi timu yetu hii ambayo ni moja ya timu kubwa 9 duniani, na hii ni kwa mujibu wa jarida la Forbes.
Pia Arsenal ni timu ya tano duniani kwa kuwa na washabiki wengi na Forbes imeiweka Arsenal kuwa klabu ya tatu kwa kuwa na thamani kubwa nchini Uingereza kwa kuwa na thamani ya kiasi cha dola za marekani bilioni 2.24
Arteta ameitaka bodi ya Arsenal isajili mabeki wawili na mchezaji mmoja wa kiungo.
Kwa kawaida inachukuliwa kuwa Januari ni msimu wa usajili ambao ni wa kimbinu au "tactical transfer" na ule wa wakakti wa kiangazi au Summer ni usajiki wa kimkakati yaani "strategic transfer".
Hivyo basi ikiwa kuna timu itamweka mezani dau lolote kwa Xhaka basi Winfried Ndidi wa Lecester atasajiliwa na Arsenal mwezi ujao.
Ndidi ni mlinzi wa kati ambae anaweza kuja kusaidia sehemu ya kiungo lakini Leicester wanaweza kuweka ugumu.
Upamecano atagharimu kiasi cha pauni milioni 70 na Arsenal hawawezi kufanya usajili huo ingawa kwa kuwa kumwita Willima Saliba kutashindikana kutokana na Saliba kuwa majeruhi, basi Dayot Upamecano anaweza kusajiliwa wakati wa kiangazi ambapo Sokratis na Davil Luiz wataondoka.
Hivyo basi, mechi ya Boxing day na Bournemouth tutegemee Arsenal ileile ilocheza na Everton au ilobadilishwa kidogo ambapo Lucas Torreira anaweza kuendelea kushirikiana na Granit Xhaka katikati, huku nyuma wakiwepo kipa Leno, Maitland Niles kulia na Bukayo Saka akicheza kama cover kwa Kolasinac na Tierney.
Mbele pembeni kutakuwa na Nicolas Pepe kulia , Mesut Ozil kati ndani , Aubameyang kushoito na Lacazette katikati.
Kheri ya Christmas.
Utajipa stress bure!.. Timu bado haijakaa vizuri, lolote laweza tokea!. Ninachotaka mimi nione falsafa, nione mpira wa ramani! Kama kuna kazi ngumu duniani basi ni kuwa kocha wa mpira wa miguu!.. Hebu ona Mou anqvyohangaika na spurs yake, sasa usiwe na mategemeo makubwa sana. Tumpe muda kocha wetu, tofauti na hapo watu wanaweza wakaanza kuponda ktk mechi yake ya kwanza tu!.. Mimi kusema kweli hata tukifungwa bado naamini arteta atatufaa saba mbeleni