Arsenal (The Gunners) | Special Thread

#AFC | Sam Fagbemi, who is being linked to Arsenal alongside Mikel Arteta, has also been at the club before.

Fagbemi was a Video Scout for Arsenal's youth academy between 2015-2017, before taking a lead scout role at Manchester City.
 
Arsène Wenger, 2018:

‘We want to be a club who gives a chance to somebody who deserves it. To somebody who has a dream & is ready to fight for it. That is initially the most dignified target a club can have: to influence people’s life & to give them the chance to be successful’.
 
UMUHIMU WA UCL NI MKUBWA SANA

Kila team huwa inatoa details za mapato yake kwa mwaka either wamepata profit au loss hii hujumuisha vyanzo vyote vya mapato ya club

Kwa mwaka 2018/2019 arsenal wametangaza overall income( revenue) kuwa ni £ 367.5m per annual( before_tax) lakini je hii ni profit au loss

Miezi 12 nyuma means mwaka 2017/2018 club ilitangaza mapato £ 388.6m per annual ikiwa ni faida ya £ 97m kulinganisha na mwaka uliokuwa umepita ( 2016/2017)

Tuje sasa je kutoka 388.6m -367.5m= £ 21.1m Ni kwa hesabu nimejaribu kupiga hii ni loss

Sababu kuu ni kushuka kwa players sales income kulingana na taarifa zao average revenue ya player sales ni £ 34m

Lakini pia kucheza europa mfululizo mapato hupungua sababu ,UCL kuna gawio kubwa kulinganisha na europa ambapo tupo

Je kwa mazingira haya tunaweza invest kiasi gani kwa usajili kama mapato ni £ 367.5 m kumbuka hapa ni pre tax ( kabla ya kodi)

Team ina project nyingi ikiwepo misharaha ya wachezaji na wafanyakazi wengine uboreshaji wa miundo mbinu kwa mazingira haya sioni fungu kubwa kama tunavyodhani kusajiri wachezaji zaidi ya kumi tena expensive

FFP ipo pia kuguide tutumie kulingana tulichoingiza ili kuepuka hasara kupelekea ban na arsenal hierarchy wanaheshimu sana hizi sheria .

Arteta anakuja lakini inasemekana ameahidiwa Signing kadhaa January ,na nyingi ni Summer .

Ok ni mapito tu tutatoka hapa nafikiri tumeona umuhimu pia wa UCL

We are the arsenal

Hatukoki_hatuhami
 
Aaron hii post umeandika ki-layman, hapana shaka wewe sio mhasibu. Profit au loss hazikokotelewi kihivyo.
hayo tuyaache, arteta is coming, ila timu inahitaji major overhaul. kama mchezaji hajitumii uuza au gawa bure, kubali hasara; asikae kwenye timu kuwafundisha ujinga wengine
 
Hatutoki, hatuhami!.. Hata iweje!.. We are the gunners forever!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daa aje basi asee, vipi bado hakuna breaking news hu

o?
 
Mzee Wenger ni mtu muungwana sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili bandiko nalihifadhi Kama kumbukumbu, sio kwa praise hizi, eti Arteta hacheki hovyo Hahahha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha siku izi hauji kabisa jukwaa kile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…