Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu kocha ni mbinafsi sana Kifikra, sio hilo hata kwenye usajili nasikia alikumbatia sana fikra zake kushirikiana na Sanllehi kuliko kumsikiliza mtalaamu Sven Mislintat aliyeletwa kwa kazi hiyo. Jamaa akaona wanataka kumpoteza katika maamuzi then akawaachia timu akatimka zake. Nimekuja kumuelewa huyu jamaa (Sven Mislintat) sasa hivi kuwa kufanya kazi na hawa watu labda uwe mpumbafu na ukalie akili zako.
 
Upo sahihi kabisa

Emery ni mbinafsi sana ndio maana sasa hivi anafeli , ndani ya bodi wengi hawamtaki anayemtetea ni Raul sanheil

Sven alimleta toreira kutibu tatizo la DM cha ajabu kampoteza toreira kwa kumpiga bench na kumchezesha kama attacking MD
 
Aisee mmiliki wenu wa timu atakuwa hapendi mpira, anaangalia faida tuu ya biashara, sidhani kama hata akiwa home anangalia match za Asernal kwenye tv.

Ingekuwa Abromovich aisee Unai tulishamsahau kama alishaifundisha Arsenal.
Bodi ya Arsenal kuna baadhi ndio wana wamepewa nguvu ndio hao wanamkumbatia emery wakiamini atabadilika

Ila majority walishamchoka

Mwenyekit wa Arsenal ametishia kujiudhuru muda wowote kama wataendelea kumkumbatia

Mwenye timu anaangalia faida wanataka emery ajiudhuru mwenyewe wasimpe fidia ambayo emery na bench lake watapata karibu £15m , kwahiyo wanacheza kamari kila siku wakiamini atabadilika wakati hadi WACHEZAJI wamemchoka .

Kocha gani hana mbinu za ushindi ,hana football identity , hajui kufanya team selection. , yeye ni mabifu na wachezaji tu .
 
Emery ni mbinafsi sana ndio maana sasa hivi anafeli , ndani ya bodi wengi hawamtaki anayemtetea ni Raul sanheil .

Mmiliki wa timu anaangalia tuu uozo unaoendelea kwanini asitoe maagizo hatua zichukuliwe haraka?
Mmiliki wa timu kuna watu aliwaachia mamlaka toka alipondoka Wenger , hao watu ndio wanamkingia kifua emery

Japo hali inapoelekea watashindwa ,

Ilikuwa avumiliwe had x mass ,lkn number ya wanaotaka atimuliwe imeongezeka

Na mashabiki wamesema uwanjani hawaendi hadi emery afukuzwe
 
Kwa mnao sikiliza redio bado Unai hajafukuzwa, aondoke kabla timu haijawa sehemu mbaya kuirudisha juu jasho litatutoka kama gape ya points itakuwa kubwa
Mkuu naona unachungulia kwa mbali
 
Mkuu nimekusaka sana kumbe umebadilisha avatar?
 
Arsenal are considering dismissing coach Unai Emery and replacing him with former Arsenal captain Mikel Arteta, current assistant coach at Manchester City, according to reports from the English press via Calciomercato.com today.

The reports detail how the Gunners’ management believe that Emery has lost support from both the fans and the dressing room, and if the club’s performances don’t begin to improve over the new few games, he will be dismissed. Therefore, the club have been looking for potential alternatives, from Massimiliano Allegri to Mauricio Pochettino, but now the top name appears to be Arteta.

The 37-year-old Spaniard, who played for the club for five years before retiring in 2016, has been Pep Guardiola’s assistant manager at Manchester City since 2016.

He has helped the club win two Premier League titles, an FA Cup and two EFL cups under the Spanish coach.

Furthermore, the report highlights, Guardiola himself has spoken positively about Arteta, saying recently: “Mikel is ready for the big jump.”
 
So if we lose our #EL game on Thursday we will still need 1 point away to Standard Liege ...so, lose on Thursday and Emery is sacked that night ?
 
Mislintat wanted to take #AFC back to its player-developing roots and discover talents with the potential to grow in the Arsenal shirt. Midfielder Lucas Torreira from Uruguay exemplifies this strategy.

Mislintat found Torreira thanks to a feature in his own software called 'Similar Players'. It follows the logic of Amazon's algorithm: "Clubs who like this player might also be interested in these ones.”

Eager to add more resilience to Arsenal's midfield, Mislintat checked players with a similar profile to the Frenchman N'Golo Kanté. The system proposed Sampdoria's Torreira.

“I knew him, and I had also noticed him doing well before.” Mislintat said.

Matteo Guendouzi, a signing from second division Lorient, for once, the energetic young midfielder's arrival had nothing to do with data analysis but instead came about courtesy of some old-fashioned scouting.

Mislintat saw in the 19-year-old qualities that cannot easily be measured in numbers: courage, strength of nerve, enthusiasm and leadership.


In his 14 months at Arsenal, Mislintat proved that his way of doing things worked in the Premier League. Raul Sanllehi, however, decided to put more trust in his network of agents. Mislintat saw this startling development as a signal.

His contract was then terminated mutually.
 
Mikel Arteta is keen to talk to the Arsenal board about possibly replacing Unai Emery at coach. Arsenal chiefs are also interested in speaking to Massimiliano Allegri, who has been out of work since stepping down at Juventus. (Times)
 
Lacazette is refusing to sign a new Arsenal deal as long as Emery is at the club. Talks are slightly further advanced with Aubameyang’s reps about a new deal, but he’s rumoured to be in the same boat as Lacazette. At this stage very few - if any - of the players support Emery.

Other senior players such as Bellerin, Ozil, Torreira and Luiz are all very much in the Emery out camp. Torreira in particular is considering leaving the club. Pepe feeling very disillusioned about lack of game time. Xhaka will be sold.
 
Nuno Espirito Santo has emerged as the leading candidate to replace Unai Emery, says to the bookmakers.

Espirito Santo leads the way among several bookies . As low as 7/4 on Sky Bet as of Tuesday afternoon.

3/1 (on Betfair and Paddy Power). 9/4 (on Ladbrokes and Coral). #afc
 
Extremely interesting situation.

Unai Emery was set to appear at @ucfb on November 29th to give a talk on management. It has been cancelled, the event has been removed from their website (although the page it was on is still there) and the tweets about it have been deleted. #AFC
 
Inawezekana game ya arsenal ya ueropa league ikawa ndio game ya kwanza kuwa na idadi ndogo ya watu kuwah kutokea kwenye uwanja wa emirates .

Mashabiki wa Arsenal wengi wamegoma kwenda uwanjan hadi hapo Unai emery atakapotimuliwa ,huku pia

Frankfurt wamefungiwa na UEFA kucheza na mashabiki katika mechi hiyo ikiwa ni moja wapo ya adhabu walizopewa.


Ukitazama hii picha eneo lenye rangi ya blue ni seat ambazo zitakuwa empty siku hiyo!
 
Confirmed: @UCFB has cancelled Unai Emery’s scheduled event due to a number of online hateful comments aimed at the head coach [@DanielBarratt23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…