Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kocha mwenye udhaifu ambao hata asiyejua soka anauona
.
 
granit xhaka kaomba msamaha kwa mashabiki wa arsenal kwa kitendo alichokifanya....dah sijajua kama next match dhidi ya wolves atapangwa position emery anayopenda kumchezesha?
 
Nakumbuka tulipomsajili beki kisiki Maguire kuna wapiga tarumbeta na wachekeshaji wa mfalme humu walianza kumfananisha na kituko Mustafi. Kweli kuna watu wana laana.😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…