Liver wana huruma mimi hii mechi sikutaka ifike penalty,wangemaliza dk 90 ,kwani mpaka sasa UNAI ana cha kujitetea.
Ozil jana kamuumbua naona akaona amtoe benchi na mwenzake Toreira.Hapo ndipo unapokuja kugundua kocha wetu anapenda kufungwa,cha msingi atuachie timu yetu akatomasane na mke wake.