Hii show umeikuta kati haujui kwanini nilisema huko tunacheza vizuri.Mnacheza vizuri Europa na Carabao !!!! Unachekesha... Hii Carabao huwa Van Djke, Mane, Wiljneidam, Arnold, Salah, Firminho, Robertson et al.... huwa hawachezagi, kwa hiyo usijione umecheza vizuri. UMECHEZA NA LIVERPOOL B.
Nyie majinga na leo mmetolewa ?
Hii show umeikuta kati haujui kwanini nilisema huko tunacheza vizuri.
Mustafi games anazocheza akiwa na Holding, Bellerin na Tierney anakua mzuri na clean sheet tutapata.Inaonyesha Unai ana ego na hataki kuonekana kama anafanya maamuzi kwa shinikizo la nje. Ozil na Torreira inaonyesha hawataki kikosini, ila amewapanga kuturidhisha tu. All in all game ilikua nzuri
Ila serious kama tuna kocha wa mabeki nafikiri ajiuzulu tu. Pale nyuma wanakaba kwa macho. Mustafi sidhani kama anastahili second chance.
Huyo Guendouzi jana hakuna alichofanya.Mustafi games anazocheza akiwa na Holding, Bellerin na Tierney anakua mzuri na clean sheet tutapata.
Amejifunga game ya jana ila hakuna beki ambaye angepona kwenye ordeal kama ile. Baada ya pale amecheza vizuri aerial clearance kazifanya vizuri tu.
Kama tunataka wa kulaumu hebu angalia goli la tano Origi alikua na nani? Guendouz.
2011 siyo 2014Unakumbuka ile ya Newcastle mwaka 2014 mliongoza 4-0 mpaka HT, Matokeo ya mwisho ikawa 4-4.
Liver sisi ni vibonde howyan nyie ni makelele tu week nzima kwenye jukwaa hili kisa kumfunga chelsea utafauti wa goli 1, harafu carabao....shenzi subiria vibonde vyenzako liver na leicester.....
Kikosi cha Arsenal ulichokiona jana ukimtoa Kolasinac ndicho kinachocheza mechi za Carabao.Arsenal klop kawazarau kawazarau kuwapangia kikosi b lkn bado mmekwama kupata ushindi
Chamberlin, Milner, Keita, Origi, na yule Elliot wale ni kikosi B mkuu!??Arsenal klop kawazarau kawazarau kuwapangia kikosi b lkn bado mmekwama kupata ushindi
Bila shakaChamberlin, Milner, Keita, Origi, na yule Elliot wale ni kikosi B mkuu!??
Sasa je?? Hao Ndó b na Wale madogo wengine waliobakia wote Wale ni kikoc cChamberlin, Milner, Keita, Origi, na yule Elliot wale ni kikosi B mkuu!??