Mna kila kitu? Mnachekesha sana..sasa kama mna kila kitu City na Liverpool watasema nini. Mnakusanya watoto wa mtaani huko halafu mnasema mna kila kitu, pambaf.
Next Wolves then away to Leicester naapa kama huyu choko atakuwa bado ni kocha katika hizi mechi zinazofuatia tutakuwa bottom of the table na Manchester United atatuacha mbali sana huyu choko amefeli na inaonekana ila nashangaa mpaka sasa bado anafundisha kwa nini lakini?tunaongoza 2 home na zinarudi kirahisi hivi kwa nini?wakati wa Wenger ARSENAL alikuwa nyumbani anafunga kuanzia 3 hadi hata 5 ila sasa hivi ni hatari sana kwa nini
Next Wolves then away to Leicester naapa kama huyu choko atakuwa bado ni kocha katika hizi mechi zinazofuatia tutakuwa bottom of the table na Manchester United atatuacha mbali sana huyu choko amefeli na inaonekana ila nashangaa mpaka sasa bado anafundisha kwa nini lakini?tunaongoza 2 home na zinarudi kirahisi hivi kwa nini?wakati wa Wenger ARSENAL alikuwa nyumbani anafunga kuanzia 3 hadi hata 5 ila sasa hivi ni hatari sana kwa nini