Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu kocha kinachomkosti ni ugomvi wake na ozil.

Kama analeta mabifu yake ya kingese atupishe tu
Yani hii ni game ya 5 mfululizo Ozil hawekwi hata bechi na mazoezini yupo


Laca bench atachezea sana kama Emery ataendelea kuwepo

Ceballos bench linamuhusu pia

Lt11 ndio kila day ni bench ,akiingia anapelekwa out of position
 
Aaaanina zake unai
 
Huyu jamaa ukimtetea atakusaliti tu,

Mm mech na Liverpool nilinawa mikono kumtetea

Ozil mech ya 5 anafanya mazoez lkn hata bench hawekwi hadi mech za carabao

Kamdharau sana ozil

Bado kuna wachezaji hawataki kisa wameletwa na bodi na sio yeye ,mfano Lt11 hamtaki kabisa , ceballos pia

Ameambiwa ceballos yupo loan mtumie ipasavyo, huyo mchezaji bado hatujamlipia , ndio kwanza anaanza na kina willock


Utamteteaje mtu kama huyu
 
Imenikera sana hii,maana hii game tungepigwa thenya CP nayo tungepigwa huyu fala angeenda kufundisha crickets huko kwao
 
Dah wakuu nilikua sjui km nyie wnYw hamtak tim yenu ishinde basi sawa kw mbindee kbs mkeka wang umeendlea kuishi bravo Pepe
 
Wewe mambo ya United unayajua mkuu? maana huwa unashinda sana kule na kutoa updates na ushauri na kutuletea updates za Allegri kuja United

Ninachoona huwa ni visingizio tu vimetawala

Ligi itaisha nitakuwa juu yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…