Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
hhahhahahhhahahahahhha teh teh teh etehhhhhhhhYaan kipindi cha Wenger xhaka alikuwa anaongoza EPL nzima kwa kupiga pass
Leo hii arsenal nzima inakaribiwa kuzidiwa pass na Rodrigo na jorginho
Tunamtaka Wenger wetuView attachment 1227400
yaani watford wanatandaza soka safi kuliko arsenal???????????????????????????????????Tatizo sio ozil ,toreira wala lacazete ,ceballos kuona hawachezi.
Tatizo kuona wanaopangwa hawana uwezo wa kufanya kaz ya hawa wanaoachwa
Tunaumia kuona mpira pori ukiibukia arsenal kutoka stoke city
#Emery Out
Yaan kuna game Auba aligusa mpira Mara 11 wakati Alison aligusa Mara 23 first halfhhahhahahhhahahahahhha teh teh teh etehhhhhhhh
bring back our wenger
Uongozi wetu ulikuwa wa kifala. Wenger hakuwa anapewa pesa aspend wakawa wanabana...yaani watford wanatandaza soka safi kuliko arsenal???????????????????????????????????
nimekumbuka kipindi kile Mou anatimuliwa chelsea , mmiliki wa klabu Roma Abramovich alisema waziwazi kuwa timu inachukua makombe saw lakini soka linalochezwa halipendezi ,anataka kuona timu inacheza soka la kuvutia kama ARSENAL maana soka ni burudani.............
Kipindi cha Wenger tulikuwa tuna forward hadi Bendtner na wachezaji wa kawaida sana,huku tukishindwa kubakiza wachezaji wetu bora lakini tulikuwa hatutoki Top 4.Uongozi wetu ulikuwa wa kifala. Wenger hakuwa anapewa pesa aspend wakawa wanabana...
huyu muhind wanampa pesa halafu magumashi.
..so why hizo pesa hawakuwa wakimpa Wenger?
Ninaamini Wenger angekuwa na timu yenye wachezaji hawa..ndugu zangu .Liverpool wasingekaa kwa raha kule juu.
Kabisa,Na pia kitu kingine Raul alitaka wafanye kazi na ma-Agent kwenye usajili kitu ambacho Sven alitaka watumie kampuni ya data kuwa-recruit wachezaji , kujua price na quality za kila mchezaji wanaye muhitaji.SVEN MISLITANT ANAONDOKA ARSENAL KISA EMERY
SVEN ANAMLETEA LUCAS TOREIRA , EMERY ANAWATAKA KINA NZONZI NA BANEGA
JANUARY , EMERY ANALAZIMISHA ALETWE DENIS SUAREZ , SVEN ANAMKATALIA ,EMERY ANASIKILIZWA ANALETEWA DENIS SUAREZ , MWISHO WA SIKU DENIS SUAREZ ANAFELI......NA SVEN DIAMOND EYE ANAONDOKA ARSENAL KISA EMERY....
Arsenal’s former head of recruitment Sven Mislintat was ‘dismayed’ by Unai Emery’s decision to sign Denis Suarez shortly before he left the club, according to reports.
Mislintat spent just 14 months at Arsenal and oversaw several key transfers during his time at the club, most notably the arrivals of Pierre-Emerick Aubameyang, Bernd Leno, Lucas Torreira and Matteo Guendouzi.
Wenger ndio alikuwa ovyo mkuu, ni mara ngapi umesikia Arsenal ina bajeti ya million 200 za usajili na wala hakuna cha maana kitachofanyika kwenye usajili paka dirisha linafungwa,utaona anakwambia nina coquelin, nina Chamak,nina wellbeck sihitaji hizo nafasii.Kitu kingine alikuwa ana allocate pesa kwa wachezaji wa ovyo kuamini watachange in future.Uongozi wetu ulikuwa wa kifala. Wenger hakuwa anapewa pesa aspend wakawa wanabana...
huyu muhind wanampa pesa halafu magumashi.
..so why hizo pesa hawakuwa wakimpa Wenger?
Ninaamini Wenger angekuwa na timu yenye wachezaji hawa..ndugu zangu .Liverpool wasingekaa kwa raha kule juu.
Wenger ndio alikuwa ovyo mkuu, ni mara ngapi umesikia Arsenal ina bajeti ya million 200 za usajili na wala hakuna cha maana kitachofanyika kwenye usajili paka dirisha linafungwa,utaona anakwambia nina coquelin, nina Chamak,nina wellbeck sihitaji hizo nafasii.Kitu kingine alikuwa ana allocate pesa kwa wachezaji wa ovyo kuamini watachange in future.
Thomas lemar aliweka £92m maji yalipomfika shingoni kipindi Sanchez anataka kwenda City, je hizo pesa alizitoa wapi tena dirisha dogo??, yule mzee alifanya kusudi sana kuamini kwa kile alichokua anaamini ndio maana MOU alimwita Specialist of failure coz alikuwa anaamini kitu kinachomfelisha kila msimu, hio ndio ilikuwa shida ya mzee.
Kumbuka mzee alikuwa ni manager hivyo Transfer policy ilikuwa chini yake, hakukuwa na Raul wala Sven by that moment.
Ila ndio hivyo,Kumbuka Dimitr payet wenger hakutaka kumsajili ingawa alionesha mahaba ya wazi, Riyad Mahrez wote walikuwa tayari kuja pale...all in all Ngolo Kante before Chelsea move Wenger alisema ana-Xhaka ambaye ni bora kuliko Kante.
Mkuu unajua pesa ya Xhaka kuja Arsenal ilikuwa kubwa kuliko Kante kwenda Chelsea.Pia ukumbuke Kante na Mahrez walikuwa offered kwa Wenger toka wapo France, tena wote kwa pamoja kwa bei ndogo sana wote kuliko tuliyomsajili Guendouzi.
Wenger ni legend wetu hatuwezi msahau lakini matatizo yake ni ya kimsimamo zaidi. All in all, he is a very good coach.
Mkuu,transfer fee ya Kante kwenda chelsea ilikuwa below £35.Mimi siamini kwamba Arsenal ilishawahi kuwaga na bajeti ya paun milioni 200 katika usajili wa wachezaji ni stori tu za magazetini
Kama ambavyo juzi tuliambiwa kuwa kuna bajeti ya paun milioni 40 alafu mwisho wa siku tunaona matumizi makubwa zaidi ya pesa tuliyoaminishwa...........
Xhaka amesajiliwa kwa dau linalokadiliwa 35m pauni
Kante kwenda chelsea ni zaidi ya hiyo pesa mkuu.....
Kante ni pound mill 32, AW hela alikuwa anayo sana tu hata kama haikufika 200M, katika kipindi tumesajili wachezaji kwa bajeti ndogo ni msimu wa kwanza wa Emery.Mimi siamini kwamba Arsenal ilishawahi kuwaga na bajeti ya paun milioni 200 katika usajili wa wachezaji ni stori tu za magazetini
Kama ambavyo juzi tuliambiwa kuwa kuna bajeti ya paun milioni 40 alafu mwisho wa siku tunaona matumizi makubwa zaidi ya pesa tuliyoaminishwa...........
Xhaka amesajiliwa kwa dau linalokadiliwa 35m pauni
Kante kwenda chelsea ni zaidi ya hiyo pesa mkuu.....
Mkuu Wenger hakuwa anapewa helaWenger ndio alikuwa ovyo mkuu, ni mara ngapi umesikia Arsenal ina bajeti ya million 200 za usajili na wala hakuna cha maana kitachofanyika kwenye usajili paka dirisha linafungwa,utaona anakwambia nina coquelin, nina Chamak,nina wellbeck sihitaji hizo nafasii.Kitu kingine alikuwa ana allocate pesa kwa wachezaji wa ovyo kuamini watachange in future.
Thomas lemar aliweka £92m maji yalipomfika shingoni kipindi Sanchez anataka kwenda City, je hizo pesa alizitoa wapi tena dirisha dogo??, yule mzee alifanya kusudi sana kuamini kwa kile alichokua anaamini ndio maana MOU alimwita Specialist of failure coz alikuwa anaamini kitu kinachomfelisha kila msimu, hio ndio ilikuwa shida ya mzee.
Kumbuka mzee alikuwa ni manager hivyo Transfer policy ilikuwa chini yake, hakukuwa na Raul wala Sven by that moment.
Ila ndio hivyo,Kumbuka Dimitr payet wenger hakutaka kumsajili ingawa alionesha mahaba ya wazi, Riyad Mahrez wote walikuwa tayari kuja pale...all in all Ngolo Kante before Chelsea move Wenger alisema ana-Xhaka ambaye ni bora kuliko Kante.
Mkuu unajua pesa ya Xhaka kuja Arsenal ilikuwa kubwa kuliko Kante kwenda Chelsea.Pia ukumbuke Kante na Mahrez walikuwa offered kwa Wenger toka wapo France, tena wote kwa pamoja kwa bei ndogo sana wote kuliko tuliyomsajili Guendouzi.
Wenger ni legend wetu hatuwezi msahau lakini matatizo yake ni ya kimsimamo zaidi. All in all, he is a very good coach.
Upo sahihi kabisa ,Mimi siamini kwamba Arsenal ilishawahi kuwaga na bajeti ya paun milioni 200 katika usajili wa wachezaji ni stori tu za magazetini
Kama ambavyo juzi tuliambiwa kuwa kuna bajeti ya paun milioni 40 alafu mwisho wa siku tunaona matumizi makubwa zaidi ya pesa tuliyoaminishwa...........
Xhaka amesajiliwa kwa dau linalokadiliwa 35m pauni
Kante kwenda chelsea ni zaidi ya hiyo pesa mkuu.....
Mkuu ni kweli kiburi cha Unai kinachagizwa kwa asilimia fulan na Raul , ila ukifatilia waliomleta Unai ni kina Gazid ndiye alikuwa na mamlaka makubwa, Raul alimtaka Enrique maana anamjua toka barca , Gazid alimtaka Arteta na Unai ,Kabisa,Na pia kitu kingine Raul alitaka wafanye kazi na ma-Agent kwenye usajili kitu ambacho Sven alitaka watumie kampuni ya data kuwa-recruit wachezaji , kujua price na quality za kila mchezaji wanaye muhitaji.
Sven walimharsh sana hao wa espaniola lakini tulikua tunamuhitaji kutengeneza timu bora, hata aliyoyafanya kwa muda mchache yanaonekana e.g kumsajili Auba.
kitu kingine ujuha na kiburi cha Unai vinaletwa na uwepo wa Raul, naamini Gazidis alimhitaji sana mikel Arteta, na Arteta alikuwa chaguo la AW lakini inaonekana Raul akamsuggest huyu ndugu yake baada ya Arteta kutaka kucontrol transfer policy.