Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Achana na Aaron, matokeo ya Watford's yalimchanganya. Mourinho will never be our coach.
 
Broo unaongea sana!

Hebu fuatilia kwanini ozil hajasafiri.
 
Kocha gani hawezi kupambana na timu kubwa, kila siku yeye anakwambia "we are working to improve, we are working on our way "... paka lini tukupe muda gani wa kuimprove? unapoteza point game nyingi kizembe tu, afu unasema unaimprove ujinga au?
Katika mwaka arsenal imeperform vizuri against big fishes ni simu wa mwaka Jana ambao ulikuwa ni wa kwanza kwa Emery.

4 points from spurs
4 points from United na
3 points from chelsea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…