Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Sikubaliani na wewe kuhusu xhaka. There is a reason he is going to be our captain.Matteo midfield yetu inamhitaji kuliko wengi wetu tunavyodhani, mid ya Xhaka ni bure kabisa kwenye game ya kasi kama hii,Xhaka yule labda game za Man u/ Man city za slow mo. lakini kwa liverpool dk90 mchakamchaka hawezagi kabisa huwa anapotezwa mbaya, kwangu naona bora hata kwa kuwa hayupo fit enough.
Acha upayukaji basi , na kweli hujui, kwahiyo kama mchezaji hajauzwa , umekurupukia wapi kumtaja bila kufanya utafiti kabla hujaongea, je umemuona kwenye lineup lini hata sub tu, ?Mimi ni mkurupukaji kweli mpayukaji kweli na sijui mpira kweli
Mustafi hayupo kwenye mipango yenu mbona sasa hamjamuuza ? Anaenda timu gani?
Hata tukiassume kuwa Mustafi hayupo bado beki ya kati wanabaki David Luiz na Sokratis ambao nao sio Class Centerback, David Luiz isn't a good Defender
Ainsley Maitland-Niles beki moja mmbovu Sead Kolasinac huwa hadefend ila mzuri kushambulia etc
Uamuz utatoka Leo ,ila akianzaIt will be a big plus for us to have xhaka in the team tomorrow
Kwan had sasa mech zote toka na man city mbona fabinho kapotezwa vibaya sana hapo kati ,au hili hulijui , ? Acha mahabaNiwataje Hendo na Millie Kwani nyie hapo hamna magarasa ya Midfield? Tulikuwa tunaongelea ni nani ana midfield bora
Unaambiwa uchague kati ya Xhaka/Gouendouzzi na Fabinho unamchagua nani?
Unaambiwa uchague kati ya Fabinho na Lucas Torreira unamchagua nani?
Unaambiwa uchague kati ya Fabinho na DM yeyote wa Spurs unamchagua nani?
Naweza sema Fernandinho ni bora kuliko Fabinho sababu ya experience so hapa nakosa grounds nzuri za kuwa compare
Finally, please let it happen...From|| In the last few hours it's being reported that Arsenal have offered Shkodran Mustafi to AS Roma.
£15-20m
wait you will see how better is our back4 compared to chelsea, ManU and some other top 6. Kesho sio mbalijustifying my claim CB patnership yenu ni bora au iko sawa na CB gani ya top Six pale EPL?
kumbuka hawaendi hivi hivi, lazima waondoke at agreed priceELNENY & MUSTAFI WARUHUSIWA KUONDOKA ARSENAL
Elneny and Mustafi wako huru kuhama klabu inataka kuwauza kabla ya dirisha halijafungwa mwishoni mwa Wiki ijayo Sept 2 Hii ni kwa Mujibu wa Unai baada ya kuthibitisha kuwa nafasi zao ndani ya klabu hakuna
'They know the situation' - Emery urges Mustafi and Elneny to leave Arsenal https://m.allfootballapp.com/news?id=1692316&type=share&language=en
Mchezaji kuwa kapteni haina uhusiano na uwezo wake uwanjani, mfano henderson pale liverpool.Sikubaliani na wewe kuhusu xhaka. There is a reason he is going to be our captain.
Sometimes mashabiki tunajifanya tunajua sana kumbe wapi hamna kitu. Kama yupo fit, I need him to start alongside ceballos and Guendouzi/Torreira
Granit Xhaka kitambaa kinamfaa sanaMchezaji kuwa kapteni haina uhusiano na uwezo wake uwanjani, mfano henderson pale liverpool.
Xhaka hiyo nafasi anaonekana bora kwa sababu wakumpa ushindani hapo Arsenal bado vijana, lakini wachezaji km Doucoure wa watford, Gana gueye yule msenegal,au hata Ndidi wa leicester wanaweza kuifill vizuri zaidi ya huyo Xhaka.
Inaumiza pale wenger anakuambia hakumsajili Kante kwasababu Xhaka ni bora zaidi ya Kante. hahahha!
Kabisa mkuu ni kiongozi mzuri ,experience, na anaijua timu nowGranit Xhaka kitambaa kinamfaa sana
Jogoo kufa si ajabu.. ila itategemeana na ukuta wa Arsenal utacheza kwa kiwango gani siku hiyo.Cha msingi tu ni kumchinja jogoo kwao kitu ambacho kinawezekana
Mmeshaanza ujinga wenu
Ceballos lazima acheze labda Micky awe Back'Up... sometimu kupangua kikosi kunagharimuDakika 15 zilizopita nlikuwa naangalia kipindi kinaitwa match day analysis, guest of the show ni Phil Neville na yeye anaamini arsenal will get a point at Anfield.
Ila ambacho sikubaliani nae ni aliposuggest mkhitaryan aanze nafasi ya ceballos. Hoja yake ni kwamba that is Anfield na patahitajika watu ambao wanajua what is Anfield, ambao hawatababaishwa na mikelele ya the kop