Huwez kumfananisha DAYOT na rugan
Dayot kamzid mbali Rugani , unadhan wajinga Leipzig Kuwaeekea release clause £100m yeye na Konate?
Rugan hajaprove uwezo wake hapo juve kwa kukosa namba ,
Mkuu ulitaka acheze mbele ya Bonuci na Chielini?
na hiyo 100 clause iskushtue mkuu. Keita wamemuuza kwa hela ndefu na bado hana namba ya kudumu Liverpool. hao wapo kibiashara wapo kwenye mawindo ya kubambikwa mtu tu.