Pweza Boy
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,397
- 3,185
Tulia... Kwa hyo £45 tutachukua mpaka Pogba msipokaa sawa
Sasa arsenal wanamtaka coutinho wanini tena?....watafute beki
Sasa arsenal wanamtaka coutinho wanini tena?....watafute beki
Bado mdogo, wale wahenga pale hawatomuheshimuNI MUDA MUAFAKA SASA ROB HOLDING APEWE UKAPTEN MKUU
Klabu ifanye maamuzi magumuView attachment 1171268
Atakuita baba mdogoMm sipanik ila nikufunza ,Mimi unasema dogo, je ukinikuta natoka chumban kwa mama yako utaendelea kuniita dogo?



Ficha upumbavu wako wewe kama unavyoficha kundu lako.Mm sipanik ila nikufunza ,Mimi unasema dogo, je ukinikuta natoka chumban kwa mama yako utaendelea kuniita dogo?
Uyu bwana ajui maana ya ushabiki wa mpira.Atakuita baba mdogo
Msifikie huko mabwana..
Sina jingine NABII TITO.Sawa NABII TITO Tumekuelewa, au una lingine?
Wewe fala unawashwawashwa sana kila ukiniona,tatizo niniUyu bwana ajui maana ya ushabiki wa mpira.
Mustafi tunamlaumu Bule Ila tukumbuke msimu wake wa Kwanza mziki wake ,alipocheza na per merteseker .aroon hapo unasema mzee?!View attachment 1171340
Juve mbona wameshakataa hiyo OFAHivi hizi taarifa za rugani kutua arsenal kwa mkopo wa miaka 2 ni kweli?
nimemgoogle rugani wamemuandikia current team...arsenalJuve mbona wameshakataa hiyo OFA
Walikuwa wanataka tumchukue khedira ili watupe na rugan kwa loan,
Bod ya Arsenal haimtaki khedira ,emery anamuhitaji
Na mashart ya juve yalikuwa hivo, maana khedira ana mkataba na juve, na juve wanataka wauvunje hivo kuna hela khedira anatakiwa alipwe , Juve wakasema Arsenal amchukue khedira wamlipe na hiyo hela ,halafu tumchukue Rugani
Bodi ya Arsenal kumkataa Khedira ,Automatically Leo Taarifa zimetoka JUVE WAMEREJECT LOAN YA RUGAN ,
Hivo arsenal ameahimia kwa Mabeki wengine akiwepo na UMTITI
Sajilini nyinyi bekiSasa arsenal wanamtaka coutinho wanini tena?....watafute beki
Editing wikipedia ,na anahusishwa na arsenalnimemgoogle rugani wamemuandikia current team...arsenal
HhahahaaaaaaaaTulia... Kwa hyo £45 tutachukua mpaka Pogba msipokaa sawa
Beki kina zipo ,sema tutafute replacement, ameshapona our hero Holding, huyu ndio alitupeleka 22 unbeaten ,alipoumia tukaanza kupotea,Sasa arsenal wanamtaka coutinho wanini tena?....watafute beki
For all the fans/reporters who think/reporting that our budget is £50m only. Just to let you know that Arsenal have minimum £100m money to spend every year whatever we play Champions League or Europa League football. #AFC
Unachobisha ni nini labda ,beki zote mbovu kivipi ,eleweka,Aaah wapi
Kama ingekuwa hivyo msingekuwa na beki zote mbovu