Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi hizi taarifa za rugani kutua arsenal kwa mkopo wa miaka 2 ni kweli?
 
aroon hapo unasema mzee?!
Screenshot_20190803-161127~2.jpeg
 
aroon hapo unasema mzee?!View attachment 1171340
Mustafi tunamlaumu Bule Ila tukumbuke msimu wake wa Kwanza mziki wake ,alipocheza na per merteseker .

Angalia kipindi Yupo na Holding mziki wake pia,

Mustafi anamakosa kama ukimuacha awe Beki wa mwisho Ila Kama anacheza na Namba 5 asili hizo Error huwezi kuziona na tatizo la Arsenal ni Beki 5 tunae Holding peke yake hao wengine wote ni namba 4.

Unaweza kumsajiri beki akiwa jiwe akafika akawa wa kawaida sababu Hata Gabriel wa Valencia Alikuwa jiwe alivyokuja kwetu akawa wakawaida.

Hivo kwa takwimu mustafi anafanya vizuri , akichezaga na Holding au koscienly au kipind kile yupo na Per .

Ila Errors zake ndio zinazomuondoa hapo arsenal nakumfanya aonekane Bomu.

Haya ni maoni yangu kuhusu mustafi.
 
Hivi hizi taarifa za rugani kutua arsenal kwa mkopo wa miaka 2 ni kweli?
Juve mbona wameshakataa hiyo OFA

Walikuwa wanataka tumchukue khedira ili watupe na rugan kwa loan,

Bod ya Arsenal haimtaki khedira ,emery anamuhitaji

Na mashart ya juve yalikuwa hivo, maana khedira ana mkataba na juve, na juve wanataka wauvunje hivo kuna hela khedira anatakiwa alipwe , Juve wakasema Arsenal amchukue khedira wamlipe na hiyo hela ,halafu tumchukue Rugani

Bodi ya Arsenal kumkataa Khedira ,Automatically Leo Taarifa zimetoka JUVE WAMEREJECT LOAN YA RUGAN ,

Hivo arsenal ameahimia kwa Mabeki wengine akiwepo na UMTITI
 
Juve mbona wameshakataa hiyo OFA

Walikuwa wanataka tumchukue khedira ili watupe na rugan kwa loan,

Bod ya Arsenal haimtaki khedira ,emery anamuhitaji

Na mashart ya juve yalikuwa hivo, maana khedira ana mkataba na juve, na juve wanataka wauvunje hivo kuna hela khedira anatakiwa alipwe , Juve wakasema Arsenal amchukue khedira wamlipe na hiyo hela ,halafu tumchukue Rugani

Bodi ya Arsenal kumkataa Khedira ,Automatically Leo Taarifa zimetoka JUVE WAMEREJECT LOAN YA RUGAN ,

Hivo arsenal ameahimia kwa Mabeki wengine akiwepo na UMTITI
nimemgoogle rugani wamemuandikia current team...arsenal
 
Sasa arsenal wanamtaka coutinho wanini tena?....watafute beki
Beki kina zipo ,sema tutafute replacement, ameshapona our hero Holding, huyu ndio alitupeleka 22 unbeaten ,alipoumia tukaanza kupotea,

Kwahiyo akiwepo holding na Namba 4 yoyote tunatembea , kwakuwa tunakuwa pia na attacking Kali.

Mm walete attacking zaid ,beki tutajua mbele ya safar
 
Usajili News: Tutegemee wachezaji hawa kutangazwa wiki ijayo. Kieran Tierney, Daniel Rugani, Phillipe Coutinho, Sami Khedira na wachezaji watatu kuondoka.

d9114f8f-6ce9-470a-bfcd-27cc64e91cd8.jpg


1. Kieran Tierney Arsenal wataweka mezani pauni milioni 20 taslim badala ya milioni 18 ya awali. Medical kufuatia Jumatatu au Jumanne.

2.. Daniel Rugani kuruhusiwa na Juventus kwenda Arsenal baada ya Chiellini kuonekana hajaumia sana baada ya mechi ya kirafiki maana angezuia uhamisho wake. Hivyo Rugani kwenda Arsenal kwa mkopo wa miaka miwili.

Rugani yupo nyuma ya mabeki wazoefu Giorgio Chiellini na Leonardo Bonucci. pamoja na beki mdogo alesajiliwa msimu huu Matthijs de Ligt kutoka Ajax Amsterdam.

Tukumbuke Arsenal tayari ina mahusiano na Juventus baada ya Aaron Ramsey kusajiliwa na timu hiyo mapama mwezi June mwaka huu na Adrien Rabiot baadae.

Hivyo Arsenal pia huenda ikamsajili Sami Khedira akiwa sehemu ya dili hilo. Khedira amekubali kupunguziwa mshahara wake na Arsenal kutokana na nafasi yake kuchukuliwa na Ramsey pale Juventus.

4. Wachezaji Mohamed Elneny, Henrikh Mkhitaryan na Carl Jenkinson kuuzwa wiki ijayo.

5. Arsenal inataka kumsajili Phillipe Coutinho kwa mkopo wa msimu mmoja utakaogharimu kiasi cha pauni milioni 24.5

6. Rugani akisajiliwa na Arsenal basi Boss Laurent Koscielny atakwenda Bordeaux.

Barcelona wataka kumsajili Neymar kutoka PSG ili aje kuziba nafasi ya Coutinho na hawawezi kuwamudu hawa wawili.

Na mwisho, Arsenal imewasili mjin Barcelona tayari kwa mechi ya kirafiki hapo kesho na nyuma ya pazia mtaalam Sanllehi atakuwa akifanya mazungumzo na uongozi wa Barca kuwashawishi kumsali Coutinho.
 
For all the fans/reporters who think/reporting that our budget is £50m only. Just to let you know that Arsenal have minimum £100m money to spend every year whatever we play Champions League or Europa League football. #AFC

Aaah wapi

Kama ingekuwa hivyo msingekuwa na beki zote mbovu
 
Back
Top Bottom