isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,562
Nipo nasoma dua Rugani jamaniNotable departures so far;
Ospina £3m
Bielik £10m
Amaechi £2m
Nipo nasoma dua Rugani jamaniNotable departures so far;
Ospina £3m
Bielik £10m
Amaechi £2m
Kabla dirisha halijafungwa tunashusha CBNipo nasoma dua Rugani jamani
Dua zenu zinahitajika!!!Kabla dirisha halijafungwa tunashusha CB
If we get Zaha and manage to reinforce our defence with at most three big signings, basi no-one will be talking about Lfc and Man-City dominance.

Kabla dirisha halijafungwa tunashusha CB
Mkuu hatuhitaji combo yoyote, hii gari inawakia kwenye gear hata game 5 hazifiki utajionea mwenyewe , labda wakina Mustafi wazingue nyuma huku.Lakini huko mbele sio mchezo eti! tena huyo AUBAMEYANG ndo naona km speed imejiupgrade zaidi,Bado tunahitaji mwaka mmoja kwanza kutengeneza chemistry ,
Tuna tatizo la Center back , hivo juzi kocha aliahid kabla dirisha halijafungwa atalifanyia kazi kwa kuleta Back ,japo soko ni gumuNifumbue macho kuhusu CB unajuwa mimi nilikuwa fan wa Arsenal kitambo baadaye toka 2010 niliapa endapo akiondoka Wenger ndipo nitaifatilia Arsenal katika kila hali![]()
Mustafi anatafutiwa timu ya kwenda , permanent au loan ...japo analeta kiburiMkuu hatuhitaji combo yoyote, hii gari inawakia kwenye gear hata game 5 hazifiki utajionea mwenyewe , labda wakina Mustafi wazingue nyuma huku.Lakini huko mbele sio mchezo eti! tena huyo AUBAMEYANG ndo naona km speed imejiupgrade zaidi,
Dirisha bado , subir kuna Rugan akiletwa na khedira ndan, TIERNY wanamalizia mazungumzoMmefikia wapi? Tumeongeza wangapi?
Tuna tatizo la Center back , hivo juzi kocha aliahid kabla dirisha halijafungwa atalifanyia kazi kwa kuleta Back ,japo soko ni gumu
Wamuache apambanie nafasi naona anataka kuudhihirishia ulimwengu kwamba yeye sio flop, nahisi ile ishu ya kumzomea ilimuuma sana ndio maana anataka atuprove wrong.Mustafi anatafutiwa timu ya kwenda , permanent au loan ...japo analeta kiburi
View attachment 1168566
Pepe to Arsenal will become official within the next 24 hours.
heheheh....et nyonga ngumuHalafu huyu UNAI ningemuomba amuamini OZIL , CEBALLOS na LT11 kwenye kiungo, hata Mpira hauwezi potea kizembe hapo.Na Ozil ni mzuri pale timu inapokua ina watu wengi wa kuwategemea.
Ozil akicheza free ni bonge la mchezaji ila sasa ukimpanga na IWOBI na Xhaka, what do you Expect??(sio kwamba xhaka na iwobi ni wabaya,..hapana, ila wanamakosa mengi sana) Ozil anahitaji watu walio clinical enough.
Refer ile combo ya Ozil,carzola,Sanchez na Theo walcot, alikua anapiga mpira mwingi,ila sio Ozil aperform kwa Arsenal ya kina MUSTAFI.
Huyu KOSCIENLY mwenyewe kachoka siku hizi, nyonga ngumu akiruka juu hafiki yani shida tupu.