Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Wilfried Zaha has told Crystal Palace that he wants to leave the club when he returns from the African Cup of Nations, according to Sky sources.
️
Zaha atakuja ikumbuka hii ofa
Kama anavyoikumbuka
Thomas Lemar
Nlichokiona mm, yule Everton anaweza kucheza kama Sanchez yaani Assist, kuscore, dribbleling, pia kuimpact the game
Hatumtaki tena ,mashabik tunamuhitaji Everton!Wilfred zaha to Arsenal??
![]()
TRANSFER RUMOR: WILFRED ZAHA TOLD CRYSTAL PALACE HE WANTS TO LEAVE
kangaroodds.blogspot.com
ADIDAS mwaka huu , haya waliofanya ni matusi , wametoa vitu vikali sana
Uzi bora wa away dunia nzima ......View attachment 1156791
Mm najipanga nivute huu wa Away kwanza.Ila huu uzi kwa sasa bado bei yake mgogoro.
Nimemchek everton nadhani ni mzuri zaidi ya zaha! Kama ligi ikimkubali, namuona kama sanchez mpya na nadhani bado kuna vitu anavyo hayupo kwenye peak yake, ila nina wasiwasi wa zaha akawa hapa yupo kwenye kilele chake zaidi, na kwangu zaha kuna mapungufu fulani anayo, labda kama unai atafanyia kazi.
Mm najipanga nivute huu wa Away kwanza.
Kabla ligi haijaanza lazima niwe nao.ADIDAS mwaka huu , haya waliofanya ni matusi , wametoa vitu vikali sana
Uzi bora wa away dunia nzima ......View attachment 1156791
Na huu ndio ukweli ,ndio maana Emery anamuhitaji zaha ,Zaha ni immediate solution.
Everton ni Long term solution.
Wakiwa wote Everton atakuwa akishambulia upande wa kulia na Zaha kushoto.
Kuwapata wote kwa pamoja sidhani kama ni rahisi kiasi hicho, ila tungewapata ingekuwa safi!!Zaha ni immediate solution.
Everton ni Long term solution.
Wakiwa wote Everton atakuwa akishambulia upande wa kulia na Zaha kushoto.
Na akifanikiwa kufikia atakuwa moja kati ya wachezaji hodari kabisa!! Ni mfungaji mzuri, ana skills, ana jicho la pasi!! Tofauti kidogo na zaha.Na huu ndio ukweli ,ndio maana Emery anamuhitaji zaha ,
Zaha anasema anahitaji kuwa prove watu ,
Ila Everton nimemuangalia ni Copy kabisa ya Sanchez, ila bado hajafika kabisa peak yake,
Wabrazili wanakimbia uingereza kwa mambo mawiliHatumtaki tena ,mashabik tunamuhitaji Everton!
Ila wazee trust me hatakama Dogo akitua Atakaa msimu mmoja tu..Wabrazil wanaamini huyu ndiye mchezaji ambye hana muda mrefu anakua neymar wapili! Kwahiyo Barca na Madrid watakua wanamzoom.
Japo mashabik tumegawanyika, View attachment 1156788
️
#AFC #Arsenal #transfers