Bas mkuu mambo ya arsenal huyafahamu, maana arsenal unaposema timu nzima mbovu ni uongo, na ndio maana nilikushauri ukahangaike na maswala ya usajir ya Liverpool kuongeza depth ,
Unasema Arsenal mchezaji mzur ni Auba wakati si kweli , Auba bila laca hatembei, halafu arsenal hiyo hiyo unayosema mbovu nzima , ilipotea mwisho katika mech 3 kati ya 38 ili tu imalize nafas ya 3.
Matatizo yaliyotokea ndio hayo Timu inahangaika kuyafanyia kazi ,
Matatizo hayo ni CB , CM , LW &RW
ambapo Emery Jana amesema Kuna maingizo katika ya wachezaji 2-4
Ambapo amesema Wanatafuta mchezaji mmoja wa gharama ambaye itakuwa ni LW, then maingizo mengine yatafata.
Ambapo LW ni Zaha, Everton au Malcon au Pepe
RW amepandishwa Nelson ,Micky au Auba
CM anatafutwa either Ceballos au lemina
CB inategemea mpaka auzwe mmoja wapo waliopo sasa ,huku akisubiriwa holding alone
LB Tierney if possible klabu itaachana nae ,maana anahitajika for the future
Hivo sijajua unabwabwaja hapa wakati Liverpool mnataka EPL hamjasajiri ,je Fatigue ikiwakamata msimu unaokuja ? Je unajua CB wako vvd akiumia tu ,timu ita struggle sana wakati city anachanja mbuga .