Hahahahahahahahah mkuu haya ni matusi makubwa hahahahahahahahahNasikia Unai kapewa pound mil 40 tunamshauri amnyake Samatta chap maana ana thamani ya pound mil 12. Akizubaa apo ndo basi tena.
Sasa nyie arsenal munatofauti gani na Sisi ambao hatusajili kabisa
Mkuu nimecheka sana eti Timu imeoza hahahahahahahahahwe mkifungwa ndio unakuja na visababu vyako uchwara, ila kabla ya game wewe ni hodari wa kubinua mdomo kwamba mtashinda, mpira hauchezwi mdomoni, timu yenu ni mbovu mbovu sijapata kuona yani imeoza
Vipi mkuu unawafahamu wachezaji hasa uwezo wao uwanjani!... Naombea dili ifanikiwe maana beki ya mwaka huu imetuumiza ile mbayaBOOM! As per the reliable @SampNews24, Arsenal have submitted an improved €50m combined bid for Sampdoria duo:
1.Denis Praet - 25 year old midfielder
2.Joachim Andersen - 23 year old ball playing centre back
This offer has met expectations of their president Massimo Ferrero. https://t.co/ORbxlRZfHc
Ni wazo zuri kumuuza wala kulikubali, mie naacha uamuzi wa mchezaji mwenyewe, japo napenda auba abaki,Huyu Sanllehi nadhani angemuuza tu Aubameyang huko China, hizo paund mil 80 zingewaleta Ziyech na zaha Afu na impact itakua kubwa sana kuliko tukibaki na Aubameyang.Zaha na Ziyech ni wasumbufu sana, nawapenda wale ni wapambanaji, ni kiboko ya mabishoo wote mjini.
Vipi mkuu unawafahamu wachezaji hasa uwezo wao uwanjani!... Naombea dili ifanikiwe maana beki ya mwaka huu imetuumiza ile mbaya
Hahaha ngoj ajekitengo cha Richard hiko
Hii ndio habari mkuu ..mimi naamini kwenye Arsenal ya vijana wadogo, wenye talent ,wasio na majina na wenye njaa ya kufanikiwa kama kocha wetu Unai Emery, na kwa uongozi wa arsenal uliopo sasa hivi wana idea kama hiyo, naamini hiki kitu kitajatokea sio muda.BOOM! As per the reliable @SampNews24, Arsenal have submitted an improved €50m combined bid for Sampdoria duo:
1.Denis Praet - 25 year old midfielder
2.Joachim Andersen - 23 year old ball playing centre back
This offer has met expectations of their president Massimo Ferrero. https://t.co/ORbxlRZfHc
kitengo cha Richard hiko
Carrasco ni mwendawazimu, ndio maana el cholo alimuachia easy, labda aje ajirekebishe arsenal..Wakuu nasikia carasco anatua any time.......niulize tu watu wa data ni kweli?
Carrasco ni mwendawazimu, ndio maana el cholo alimuachia easy, labda aje ajirekebishe arsenal..
Ni mchezaji msumbufu akiwa na mpira mguuni lakini hana madhara makubwa saana lango mwa mpinzani.