Mm kama Arsenal Tunaenda Spain kufanya Tour kidogo ya kwenda Arzebeijan
xhaka na guendouz na laca wapunguze ujinga,
sokratis katisha kamata sana watu koscienly hatar anakufa na Team ameumia lkn anakamua ozil kaupga si mbaya Mick akicheza 10 anaupga sana Alhamis tunaenda kumaliza game