Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Vijana wameahid ushindi kesho

Naiman manyua hawatatuangusha katika kuwabonda Chelsea,

Maana akifungwa kesho matumain yake kuingia top four yanabak 1% ,

 
Ujue wengi mpira wameujulia baada ya kubeti kuja,

Kuna mwingine anaweza kudhan Liverpool ni wamwagaji wa hela kumbe hapana ,ni hela ziliwatembelea baada ya mauzo ya Suarez na cou 10, wakazitumia vzr wamejenga timu,

Na sasa hivi wamesema hawataspend sana ,means labda utokee mzigo tena wa maana,
Ninachotaka kusema unaweza kuwa na hela kidogo ukaspend wisely,

Hivi unaweza kujiuliza kulikuwa na haja gan ya mou kujifanya anajua kutoa 52 kwa Fred wakati kulikuwepo kina filipe Anderson WA 35,

Utaona ili timu isiwe inaingia mkenge kila Mara anahitajika MTU au watu WA mpira nyuma, hiki kitu city wamekifanya,

Na arsenal tumeanza mwaka Jana ,

Ndio maana Barcelona walipotaka tutoe 20 kwa Denis Suarez, watu WA mpira wakasema hapana , tunamuomba kwa mkopo, then tutaangalia mwisho WA msimu, tulipe hiyo 20 au tumrudishe,

Lakin kama una watu wanaospend ovyo, ndio yanatokea Yale Yale yakina bakayoko, elneny, Fred
 
Unai Emery: “In the Premier League, technical quality without physicality is not enough. City, Liverpool, Tottenham, Chelsea, all the top teams here are physical and technical. Arsenal need to be the same.”


Kitu ambacho watu pia hatujakifahamu
 
MAKOSA YALIYOTUGHARIMU MECHI MBILI MFULULIZO

NI KUKOSEKANA KWA VIUNGO KATIKATI, MECHI YA WOLVES EMERY AKAFANYA MAKOSA TENA AKAJA NA 4-2-3-1 HUKU NAMBA 2 NILES AKIWA BADO HAJATENGEMAA, NAMBA 3 NACHO KASI IMEPUNGUA, AKAMUWEKA BENCH KOLASINAC AMBAYE AMEKUWA AKICHEZA VZR NA IWOBI UPANDE WA KUSHOTO


KUELEKEA MECH YA LEO

KAMA LEO TUTARUDI KWENYE MFUMO AMBAO TAYARI WACHEZAJI WAMESHA UADAPT WA 3-4-1-2

BASI NI DHAHIRI TUTAREJEA KWENYE NJIA YA USHINDI ,

HIKI NDIO KIKOSI AMBACHO KUFUNGWA HUWA NI MWIKO

NAIMAN KUREJEA KWA AUBA, KOLASINAC

KUTAFANYA TUANZE NA 3-4-1-2

PALE MBELE TUKIANZA NA DOUBLE STRAIKERS , NYUMA AKICHEZA OZIL

USHINDI LEO NIMUHIMU HUKU TUKIOMBEA NJAA CHELSEA APOTEZE AU SARE ITAPENDEZA ZAIDI.

COYG
 
Jitambulishe ,wewe ni nan na unatokea timu gan tujue ni cheltako, nyumbu au n.k
Icho kitu mkuu mi nimekiona muda sana, timu yetu wanalegea sana tunapokua away frm home, sijui hata kwanini... waga km tunataka mambo yajiset yenyewe,
 
bado unaendelea kuliamini hilo tambara hapo golini
 
Mechi ya leo mashabiki wenzangu wa Arsenal naona hatuna nayo mzuka kabisa yaani baada ya kufungwa mechi 2 mfululizo na hasa ya Crystal palace hata Mimi mpaka sasa sielewi itakuwaje top 4 sitaki kujipa matumaini nkaishia kuumia moyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…