Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Inabid twende top 4 kwanza,

Msimu ujao tukiondoa baadhi ya takataka tutakuwa washindan bora,

Msimu huu tumejitahid sana, inafikia kipind xhaka, lt11, Ramsey hawapo na bado tunapigania top 4, unabaki bench na elneny na Matteo

Wakati wenzetu unakuta wana pogba,Herrera,matic ,Fred,mctominay, na bado wanahangaika kupata nafas ya 5,

Chelsea ana kante,bakrey,covacic,jojino, na wote wazima karibu kila mech lakin wana struggle kupata top4,

Nimsifu unai kwa kupigana hadi sasa, lait angekuwa na backup nzuri ya midfield ,sasa hiv tungekuwa tumeshamalizana na swala la top4

Msimu ujao tayari Elneny, mustafi, wataondolewa hivo natarajia kuona ERICK BAILY, BARELA, na zaha n.k wakiongeza nguvu kwa mujibu wa tetesi,
 
Tukimpata barela , zaha, na baily ,

Halafu hawa si wanaondoka kina mustafi na neny,basi nadhan tutakuwa washindani


Maana holding,belle wanarejea hivo kufanya back line kuwa imara ,kiungo tutakuwa na option kati ya lt11,xhaka na barela

Winger tukimuongeza zaha,


Usajiri huu unaatosha kabisa kutufanya washindani ,kama tumeweza kushindana na man u ,Chelsea wenye viungo zaid ya wanne wazoefu na kila game wote wanakuwa fiti, basi ni dhahiri next season hawatatukamata,
 

Sina imani na mchezaji anaewaniwa na Arsenal peke yake awe tishio. Watatuletea kina Goundoz tu wengine.
 

If my memory serves me right Emery has been promised by the club a budget of only 45 million GBP for the next season!!
That’s a very thin war chest! Manake hata Mitrovic wa Fulham hutampata kwa budget hiyo
 
ARSENAL MABINGWA WA LEAGUE U-18

Kikosi cha vijana chini ya umri wa miaka 18 kimetwaa ubingwa wa league hiyo

Kina john- jules,greenwood bila kumsahau bukayo saka wakiwa performance ya kulizisha potential awa vijana nikuwatafutia mfumo mzuri watusaidie senior team kwa baadae
 
Mkuu hizo habari si za kweli,

Ukweli ni huu iwapo Arsenal itafuzu UCL, itaspend £100m-150 ,

Maana kuna mpunga wa adidas £60m unaingia June, na kuna wachezaji 6 wanaondoka ,hivo replacement yao haiwezi kuwa 40 , hii habari ni fake

Cech ,nacho,neny,mustafi,Micky,Ramsey , na welbeck 50/50, kos6 70% anaondoka,,

Ndio maana wanakwambia ni 45 wengine 40,

Ni rubbish, tegemea matumiz ya £100m na 150 itafika kutokana na hela watakayouzwa, mustafi 20-25, neny 10-15,welbeck 10-20, Micky
 

Ndio maana nimekuwekea evidence hapo juu. Weka hapa hizo habari zote hapa kwa faida ya wote
 
Ndio maana nimekuwekea evidence hapo juu. Weka hapa hizo habari zote hapa kwa faida ya wote
Mkuu hizo evidence usiziamini achana nazo,

Soma hapa utaona mchanganuo mzima wa mapato ya arsenal, na kwanini January hatukusajiri ,na itakuwaje iwapo club itarejea UCL,

Bajeti itakwendaje , utaona kila kitu,

 
The same budget figures imetangazwa via Fox Sports, ESPN etc
Nimekwambia hizo ni sawa na udaku

David ornstein mwenyewe Hakuzungumza hiyo habari ambayo ili trend na ikapotea

That is according to BBC Sport reporter David Ornstein.

Soma hapa alichokisema

 
Mkuu hivyo vyanzo vyako mm huwa naviita udaku

David ornstein alizungumzia hilo ,baada ya hiyo habari kutrend

Sasa kama David alishalizungmza, nitashangaa ukilikomalia wakati ni udaku

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…