21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,299
- 2,843
Umezinduka na motooAccording to MailOnline, we're eying a move for Man United defender Eric Bailly
The Sun report that we’re set to miss out on Ajax left back Nicolas Tagliafico
Umesahau wewe ulibondwa na hao madogo na borna akakuppiga 4-0
Timu yako mbovu broo punguza mbwembweUmesahau wewe ulibondwa na hao madogo na borna akakuppiga 4-0
Yako nzuri haitamaliza top 4Timu yako mbovu broo punguza mbwembwe
Yako ingekuwa njema, usingebondwa 6-0,4-0 mfululizoTimu yako mbovu broo punguza mbwembwe
Unasubiri 38 games ndio ujue nani mbovu? Mbona inajulikana wazi kuwa arsenal tayari chali. Leicester anakusubiri mmaluzane vizuriYako ingekuwa njema, usingebondwa 6-0,4-0 mfululizo
Baada ya 38 games , utajua nan mbovu na nan yupo njema
Umekuwa mganga wa kienyeji,Unasubiri 38 games ndio ujue nani mbovu? Mbona inajulikana wazi kuwa arsenal tayari chali. Leicester anakusubiri mmaluzane vizuri
Umekuwa mganga wa kienyeji,
Nitakuja kukumbusha maana unajuaga kutabiri vice versa,
Mimi sina wasiwasi na chelwowo
Mzee wa kujipiga ban ukifungwa unakimbia nitakupata wap mmUmekuwa mganga wa kienyeji,
Nitakuja kukumbusha maana unajuaga kutabiri vice versa,
Mimi sina wasiwasi na chelwowo
Unanifananisha na ndugu yako WA chelwowo ndugu Ollachuga OcMzee wa kujipiga ban ukifungwa unakimbia nitakupata wap mm
Hahahaha Manure yule kiwete namkalisha tano..Mkuu vp mbona unatusemea, japo tupo vibaya ila hiyo Chelsea yako ni uozo mtupu kwa kuanzia hiyo jpili Man U anakukalisha. Kama kawaida yako utapotea huku jukwaani.
Hahaha kaonekana uko maeneo ya Yombo vituka anatembea peku kapotea anaomba kuelekezwa namna ya kufika kanisani...Jamani atakaye muona AROON atoe taarifa kituo cha polisi
Hahahahahahahahahhahahahahahahahah HahahahahahahahahhahahahahahahahahHahaha kaonekana uko maeneo ya Yombo vituka anatembea peku kapotea anaomba kuelekezwa namna ya kufika kanisani...
Hahahahahahaha daaaah maisha matamu sana....
Karibu bana kwenye chama la ushindi hahhahaha kwanini upate tabu kujiteka wakati kuna nafasi za kutosha Chelsea? Njo uku usiishi kwa wasi wasi mkuu, kwani timu ni kabila? wee hama tu njo nyumbani ni furaha tele kila gemu sisi ushindi tu...Unanifananisha na ndugu yako WA chelwowo ndugu Ollachuga Oc
Wewe ni lopolopo tu, mkipigwa jukwaa lenu mnaniachia peke yangu,
Jumapili nyumbu anawabondeni, najua mtaniachia jukwaa peke yangu
Endelea kujifariji ila away form yako ni mbovu sana, japo ningependa mtoke hata draw ila huna timu ya kupata matokeo hayo OT.Hahahaha Manure yule kiwete namkalisha tano..
Hahahahahaahahahahahaaaaaaaa mzee baba AROON natumai alifika salama kanisani ...atujuze kama aliombea Arsenal yake imazile top four hahahahahahahahahahahaaaaaaaHahahahahahahahahhahahahahahahahah Hahahahahahahahahhahahahahahahahah
Huyo kocha wako Sari mara ya mwisho kuchukua kombe ilikua mwaka gani?.Karibu bana kwenye chama la ushindi hahhahaha kwanini upate tabu kujiteka wakati kuna nafasi za kutosha Chelsea? Njo uku usiishi kwa wasi wasi mkuu, kwani timu ni kabila? wee hama tu njo nyumbani ni furaha tele kila gemu sisi ushindi tu...
Kesho kutwa uyo Manure ana khabari zangu. Nikimpiga goli chache basi ni tatu..
Europa is belong to us...
Mkuu OT ndo ground nyepesi msimu huu kupata point tatu kuliko nyingin za EPL..Endelea kujifariji ila away form yako ni mbovu sana, japo ningependa mtoke hata draw ila huna timu ya kupata matokeo hayo OT.
Yaani Mimi nihamie cheltako? Umekosa kabisa tusi la kunitukana?Karibu bana kwenye chama la ushindi hahhahaha kwanini upate tabu kujiteka wakati kuna nafasi za kutosha Chelsea? Njo uku usiishi kwa wasi wasi mkuu, kwani timu ni kabila? wee hama tu njo nyumbani ni furaha tele kila gemu sisi ushindi tu...
Kesho kutwa uyo Manure ana khabari zangu. Nikimpiga goli chache basi ni tatu..
Europa is belong to us...
Wewe piga mboyoyo za kutosha, najua jpili jioni utapotea kwa kasi ya kimbunga kenethMkuu OT ndo ground nyepesi msimu huu kupata point tatu kuliko nyingin za EPL..
Angekuwepo Mourihno mambo ndo yangekuwa magumu. Sio uyu mmsai Ole