Watu walikuwa wanasema unai ana ugomvi na ozil ila unai mwenyewe alisema mara nyingi anahitaji ozil awe bora zaidi na akamsugua saiz tunaona sasa ozil anavyojituma hata asipokuwa na mpira na jinsi anavyocheza akiwa na mpira.. Amekuwa ozil ngangari..
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba