Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndio ujinga wa gooners gay huu....wanatoa mtoto huko mchangani anacheza mechi tano,sita basi wanataka dunia iamini ni mchezaji bora sana. Yule Taahira na Andazi wameishia wapi? Baada ya kucheza mechi mbili tatu, tulipigiwa kelele hapa "hawa jamaa ni vitasa" leo hata first eleven hawaonekani Timu kubwa kama Mashetani wekundu mpaka ucheze mechi 40/50 ndio tukufikirie fikirie ubora wako. Jifunzeni kwa wenzenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe fala kweli ,

Hivi unaweza fananisha Garasa lako Fred na Fund mruguay ?

Na mtaendelea kuuziwa magarasa kila siku
arsenalnation-20190313-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya game ya Uropa Ligi Arsenal dhidi ya Rennes Alhamisi hii klabu ya Arsenal pamoja na benchi lote la ufundi watakwea pipa kuelekea Dubai kwa mapumziko na kujifua kwa vita ya top 4 EPL na namna ya kutwaa kombe la Uropa msimu huu.
Arsenal haitakuwa na mechi yeyote hadi tarehe 1 April baada ya mechi ya tarehe 18 dhidi ya Wolves kuhairishwa.
Hii itakuwa ni kwa mara ya kwanza klabu ya Arsenal kuwana safari ya mapumziko nje ya Colney kwa sababu huu haukuwa utaratibu wa Arsené Wenger kuwa na safari katikati ya msimu.
edokumwembe-20190311-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Congratulations to Henrikh Mkhitaryan who has been voted Arsenal’s player of the month for February. He returned from injury to a squad that were lacking confidence & gave us a completely new dimension whilst adding goals/assists. Well deserved! Let’s hope his form can continue.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuifunga United kusimitie upofu timu yenu ni mbovu na iko nyoronyoro sana, wanaume wako uefa wanataka ubingwa nyinyi mshachukua ubingwa tayari kwa kujifanya United. GGMU
Umepigwa 2-0

Una timu mbovu ww, usidhan hatujui ulimbahatisha PSG, timu linakaa nyuma linasubir miujiza,

Subir wanaume wamepita ,ndio mwisho wenu hapo

Man city kashinda 7 nawakumbusha, anakuja kuwazika rasmi mtaa wa 6

Na mnaenda futuhi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umepigwa 2-0

Una timu mbovu ww, usidhan hatujui ulimbahatisha PSG, timu linakaa nyuma linasubir miujiza,

Subir wanaume wamepita ,ndio mwisho wenu hapo

Man city kashinda 7 nawakumbusha, anakuja kuwazika rasmi mtaa wa 6

Na mnaenda futuhi

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika hao wanaume waliopita na United ipo au hulijui hilo? kwajinsi ninavyoona unatamani na wewe ungekuwa miongoni mwa hao wanaume lakini ndo hivyo tena. GGMU
 
Umepigwa 2-0

Una timu mbovu ww, usidhan hatujui ulimbahatisha PSG, timu linakaa nyuma linasubir miujiza,

Subir wanaume wamepita ,ndio mwisho wenu hapo

Man city kashinda 7 nawakumbusha, anakuja kuwazika rasmi mtaa wa 6

Na mnaenda futuhi

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika hao wanaume waliopita na United ipo au hulijui hilo? kwajinsi ninavyoona unatamani na wewe ungekuwa miongoni mwa hao wanaume lakini ndo hivyo tena, futuhi ipo kwa ajili ya timu kama asenane. GGMU
 
Wewe hujui kuwa UCL ndio mwisho hapo baada ya bahat nasibu,

EPL unaishia namba 6

FA wolves anakubaka



Na msimu kwako unakuwa umeisha ,bado hamtaki kukubali

Mimi nafas ya 3 lazima, ya 4 Chelsea

Ueropa naenda kubeba,


Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee umeandika haya maneno kwa uchungu sana pole sana mkuu maisha ya mpira ndivyo yalivyo. GGMU
 
Kuna dgo kule Kenya jezi tano original na kishimba cha kutosha na Ozil baada ya kuonesha kumkubali sana.

Dgo anatoka jamii ya wafugaji ..alichora picha ambayo ilitrend mtandaoni adi kumfika Ozil ..hatimaye Ozil aliguswa sana na kuamua kumpa izo zawadi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom