Tumaini pekee walilonalo Arsenal ni kuwa hii game inacheza nyumbani kwao mahali ambapo wamepigwa na Man United mechi ya mwisho na wakati huohuo Man United hii inashinda zaidi Ugenini toka iingie ktk mikono ya Ole.Hapo ndipo hata tumaini linaingia mashaka
Arsenal's defence looks like elders' tribunal >>> 1.Petr Zcech.......37 years, 2.Nacho..........33 years, 3.Lencheistner.........35 years, and 4. Koscielyn.........34 years. >>> Total 139 years at the back....
Arsenal's defence looks like elders' tribunal >>> 1.Petr Zcech.......37 years, 2.Nacho..........33 years, 3.Lencheistner.........35 years, and 4. Koscielyn.........34 years. >>> Total 139 years at the back....
Hawa jamaa wanaitaji fungu kubwa tu kudili na hilo tatizo la uzee huko beki sasa tatizo unakuta fungu kocha anapewa 50 mil tena kwa ajili ya dirisha kubwa la usajili