Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Job done.
_20190222_002334.JPG
_20190222_002316.JPG
_20190222_002354.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ANACHOJARIBU UNAI EMERY...

Jana nimesoma exclusive interview ya Guillem Balague kuhusu mtazamo wake kwa Unai, alisema kazi ya Emery ni ngumu kwa sababu anabadilisha utamaduni wa Arsenal. Ian Wright aliwahi kusema wakati wa Wenger wachezaji hasa wadogo walikuwa wakikwepa mazoezi wakisingizia wanaumwa.

Kila mchezaji aliyewahi kuwa chini ya Unai anatoa ushuhuda ni very demanding coach. Hampangi mtu anayezembea mazoezi. Labda tujiulize Ozil kakosa mechi ngapi bila majeruhi lkn akisingizia kuumwa? Siku moja Unai aliulizwa lini Ozil amepata maumivu ya mgongo akasema 'sijui'.

Unai aliamua kuanza na big fish. Aubameyang aliwahi kusema ukikosa goli kwenye mazoezi unapigishwa push up 300. Lacazette mara kibao amepigwa sub, Ramsey bench.

Wanaofuata maelekezo yake wanapiga kila game. Iwobi, Guendouzi, Kolasinac utawaona kila mechi. Jana kabla ya mechi ya Bate Martin Kewon alisema ameambiwa Ozil alitrain vzr sana wiki nzima. Na kweli Unai kathibitisha kwamba kwa wiki mbili amefanya vzr mazoezini.

Lkn pia mashabiki wa Arsenal wajue kila timu ina utamaduni wake. Sioni mchezaji akisababisha kocha kufukuzwa kazi. Alichofanya Pogba kwa Moulinho au wanachokaribia kumfanyia Sarri akina Hazard usitarajie kukiona Arsenal. Kocha wa Arsenal atashinda battle na mchezaji yoyote any time any day

Aroon Toreira
IMG-20190125-WA0037.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Meneja wa Arsenal Unai Emery amepuuzia taarifa kwamba Paris St-Germain inafikiria uhamisho wa thamani ya £60m kwa mchezaji wa Gunners anayeichezea timu ya taifa ya Ufaransa ya wachezaji wa chini ya miaka 21 Matteo Guendouzi (Football.London)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ANACHOJARIBU UNAI EMERY...

Jana nimesoma exclusive interview ya Guillem Balague kuhusu mtazamo wake kwa Unai, alisema kazi ya Emery ni ngumu kwa sababu anabadilisha utamaduni wa Arsenal. Ian Wright aliwahi kusema wakati wa Wenger wachezaji hasa wadogo walikuwa wakikwepa mazoezi wakisingizia wanaumwa.

Kila mchezaji aliyewahi kuwa chini ya Unai anatoa ushuhuda ni very demanding coach. Hampangi mtu anayezembea mazoezi. Labda tujiulize Ozil kakosa mechi ngapi bila majeruhi lkn akisingizia kuumwa? Siku moja Unai aliulizwa lini Ozil amepata maumivu ya mgongo akasema 'sijui'.

Unai aliamua kuanza na big fish. Aubameyang aliwahi kusema ukikosa goli kwenye mazoezi unapigishwa push up 300. Lacazette mara kibao amepigwa sub, Ramsey bench.

Wanaofuata maelekezo yake wanapiga kila game. Iwobi, Guendouzi, Kolasinac utawaona kila mechi. Jana kabla ya mechi ya Bate Martin Kewon alisema ameambiwa Ozil alitrain vzr sana wiki nzima. Na kweli Unai kathibitisha kwamba kwa wiki mbili amefanya vzr mazoezini.

Lkn pia mashabiki wa Arsenal wajue kila timu ina utamaduni wake. Sioni mchezaji akisababisha kocha kufukuzwa kazi. Alichofanya Pogba kwa Moulinho au wanachokaribia kumfanyia Sarri akina Hazard usitarajie kukiona Arsenal. Kocha wa Arsenal atashinda battle na mchezaji yoyote any time any day

Aroon ToreiraView attachment 1028921

Sent using Jamii Forums mobile app


We jamaa kumbe haupo TZ!

Halafu kumbe wewe ni mbulu/muIraqw?
 
Back
Top Bottom