Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hapo jana Mesut Özil alinukuu maneno ya gwiji wa Arsenal, Dennis Bergkamp: "Ukianza kushabikia timu, hushabikii kwa sababu ya vikombe, mchezaji au historia unashabikia kwa sababu umejikuta uko hapo, tafuta sehemu unapo stahili kuwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mbona umenijibu kawaida halafu unaanza kuusemea moyo wangu.? Kama nyie mmezoea majibu mabaya msitegee na sisi tutakua hivyo.

Hahaa.. Eti marefa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama unafuatliaga legaes na genoa sawa lakini kinyume na hapo ww n mfuata mkumbo tu naana najua barca vs real/ atletico ndizo uonazo
 
hao hao kina real bets

Chunguza kw nn hata grezman hakwenda huko wachezaji wa Kibrazili ndio wna ramaa ya real na barca au maaamerika ila si ulay
Ulaya ni wapi kwani??
. Germany, Croatia, France, Portugal, UK, au sio ulaya huko. Huyu Grezman ni yupi? Wa Atletical Madrid au??
Sikumbuki hata mara ya mwisho mchezaji bora kutoka EPL ni lini.
Hembu nitajie first 11 ya dunia for the past 10 years tuone wametoka mataifa gani na wanacheza ligi gani.

Kitendo tu cha kutaja Geneo kwenye laliga kinaonyesha wewe ni mfata mkumbo wa EPL. Your not a football fan.


Sent from my FIG-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mbona umenijibu kawaida halafu unaanza kuusemea moyo wangu.? Kama nyie mmezoea majibu mabaya msitegee na sisi tutakua hivyo.

Hahaa.. Eti marefa


Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ulitaka nisiwaseme waamzi ila niwalaumu wachezaji waliotimiza wajibu wao.
Mashabiki wa arsenal tuko vizuri ila nyie mnataka tuwapongeze mkitutukana.
We are the GUNNERS forever.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenger on Ramsey leaving Arsenal:

"It will be a loss for Arsenal. I must say it will be an interesting move for Ramsey."

"He is a player who is great going forward. His main quality is he can keep the final ball and he makes interesting runs from deep."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Loss for what yeye alivyokuwa na huyo ramsey wake alifanikiwa kipi hasa..
Sent using my nokia ya tochi
 
Bwahaha ..mpira ungekuwa mrahisi ivyo mungebeba makombe miaka ya yote.

Ninyi bado hamna kikosi cha kuisimamisha Chelsea au Liverpool au Man city..

Apo OT shamba la bibi tunachukua point tatu safi kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, siku zote unaponzwaga na mdomo wako.

Haya, endelea kupiga kelele sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…