Hawa jamaa huwa wanatupiga nyingi, sijui weekend hii zitakua ngapi, japo kwenye mpira kuna maajabu yanaweza kutokea ila kwa hiki kikosi chetu sioni muujiza kutokea.
Am sure tuna uwezo wa kushinda game ya man city ikiwa full back itatulia maana nayaona magoli mengi yakifungwa na foward wetu ingawa hata sisi defenders wataruhusu magoli machache.
Arsenal atashinda game its a matter of time.
We are the GUNNERS forever.