Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna uwezekano dili likafa kwa sababu Arsenal wanataka kutoa £ 15m mwisho wa msimu wamsajili moja kwa moja. Barca wanataka £ 20m lakini Arsenal wanagoma kutoa 20 mwisho wa msimu. Kuna mvutano na huenda dili likafa ingawa Unai Emery amekiri wazi kwamba Arsenal ni lazima waingie sokoni kusajili wachezaji wapya dirisha hili...


Barcelona and Arsenal break off negotiations over Denis Suarez (Mundo Deportivo) Barcelona and Arsenal break off negotiations over Denis Suarez (Mundo Deportivo)| All Football

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Emery asije akawa kama Wenger tukaishia kwenye tetesi mwisho wa siku atuambie tuna wachezaji wa kutosha
 
Kwamba hiyo Nafasi anayocheza Saka ndo Ina mapungufu? Unapowaamin Akina Gunduz na kutokuamini Ozil na Ramsay uoni kua una matatizo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa arsenal yetu sven alikuwa anahitajika zaidi nadhani kwa takwimu ni bora kuliko monchi.. kwangu ni Dani alves, rakitic, ever banega, kanoute labda na nzonzi ndio bora kwangu na si mvumbuzi kivile sababu wengi tayar walikuwa wameshakuwa maarufu kabla hajawabeba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu ana uzur na udhaifu wake, sven ni mgomvi sana,

Kila timu huwa hapatan na makocha ,

Monch yeye soko lake ni america sana,

Hivo akija tarajia kuziona sura za wabrazil ,sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DAH NILIKUA NA MASHAKA NA HUYU JAMAA ANAEHUSISHWA KUJA KUMRITHI SVEN MISLITANTS ANAITWA RAMON RODRIGUEZ VERDEJO AL MAARUFU KAMA MONCHI LAKINI BAADA YA KUANGALIA SAJILI ZAKE ZIMEFANYA VIZURI DUNIANI KULIKO SAJILI ZA SVEN MISLITANTS

HIZI HAPA NI BAADHI YA SAJILI ALIZOWAI KUZIFANYA


JOSE ANTONIO REYES from YOUTH TEAM akamuuza ARSENAL
..
DANIEL ALVES from BAHIA akamuuza kwa BARCELONA
..
JULIO BAPTISTA from SAO PAOLO akamuuza REAL MADRID
..
ADRIANO from CORITIBA akamuuza BARCELONA
..
FEDERICO FAZIO from FERRO CARRIL akamuuza TOTTENHAM
..
CHRISTIAN POULSEN from SCHALKE 04 akamuuza JUVENTUS
..
SEYDOU KEITA from LENS akamuuza BARCELONA
..
IVAN RAKITIC from SCHALKE 04 akamuuza BARCELONA
..
ALEIX VIDAL from ALMERIA akamuuza BARCELONA
..
JESUS NAVAS from YOUTH TEAM akamuuza MAN CITY
..
ALBERTO MORENO from YOUTH TEAM akamuuza LIVERPOOL
..
SERGIO RAMOS from YOUTH TEAM akamuuza REAL MADRID
..
ALVARO NEGREDO from RAEL MADRID akamuuza MAN CITY
..
MOHAMMED SALAH from EL MIKAWLON akamuuza FC BASEL

Ukiangalia sajili hizi utaheshimu uwezo wa huyu mtu

WAZUNGU WAMEMPACHIKA JINA WANAMUITA "THE TRANSFER WIZARD"

IKIWA NA MAANA JAMAA NI MCHAWI KWENYE USAJILI

ifahamike SVEN MISLITANTS anaondoka kwasababu hana maelewano mazuri na UNAI EMERY

#COYG

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The Mirror claim Monchi is ready to move to #Arsenal in the summer. The club are targeting the Spaniard to take up a newly-created role of technical director, & Monchi is keen..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nkunku alichezaga pre season gemu tuliyochezaga na psg kule singapore yeye ndo alifunga lile goli moja la psg alitusumbua sana ile gemu..ni mzuri inshort ana spidi, dribble, na anachezesha timu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…