Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Zimebaki siku 4 muanze rasmi kugombea nafasi ya 6 na wakna wolves huko.

Hii sio team, na haijawah kuwa team bali ni pango la walowezi wanaovaa jezi.
 
Ni sehemu ya matokeo, haimaanishi hatuna kikosi nafasi ya nne bado ninaiman ya kuipata safar haijafika mwisho ndo kwanza mech ya pili mzunguko wa pili, timu zote zinafungwa tu si Aseno peke yake cha msingi ni mapambano, Cha kupambana ni kurudi UEFA lakin tupate kikombe hata kimoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…