Arsenal (The Gunners) | Special Thread

ha
habari nzuri sana......mana sehemu ya ulinzi ni changamoto kubwa pale...........hakuna game iliyonikera kama ile ya manure yaani goli linadumu dk 1
 

Unadhalilisha pound kiasi hicho? Pound milioni 7 ni sawa na Tzs 21 bilioni.
 
Wamemuiga ma**ko anaye cheza nje siku ya futui

Kuna kitu mnakikosea sana kwenye utani unaohusiana na michezo, huwa mnachukulia utani kama issue personal mpaka kufikia kuvuka line.

Unapotaniwa neno Futuhi, then ukaja na abuse inayomlenga family member ni line crossing, kuna unwritten rule kwamba trash talking should not go to family members.

Sina uhakika na umri wako lakini jaribu kutafuta kwa nini Zidane alimpiga kichwa Materazi kwenye WC Final 2006 utajua nini maana ya trashtalk limit.

AROON big up, recently umekuwa sportsman, you argue with points, hata utani siyo wa kufedheheshana.
 
uvumilivu muhimu sana katika michezo......na hata ukiangalia kwa makini zaidi somo la haiba na michezo linafundishwa katika shule za msingi ili kumjengea mwanafunzi/mtoto stadi mbalimbali zitakazomsaidia kuwa imara katika maeneo mbalimbali katika ukuaji wake kama vile kuimarisha viungo vya mwili,kumjenga katika uwezo wake wa kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi na mahali sahihi,kuwa mvumilivu na mengineyo mengi ambayo mtoto/mwanafunzi akijengewa kwa usahihi basi atakuwa vizuri katika nyanja zote za ukuaji wake yaani kimwili,kiakili,kijamii na kiroho na hatimaye kuwa raia mwema katika jamii yake.


NAAMINI UKIDIGEST VIZURI NILICHOANDIKA UTAELEWA NI NINI NAMAANISHA.
 

Thrash
 
Emery was asked if Ozil playing Fortnite was causing his back problems:

"I don’t know, tomorrow he is in the group, the 18 players for this match."

“We are going to decide if he will play tomorrow from the beginning or during the 90 minutes.”
 
Ahead of Thursday night's Europa League clash against Qarabag, here's the latest team news update from our medical team:

Aaron Ramsey
Fit and has returned to full training following ankle injury.

Mesut Ozil
Fit and has returned to full training following back injury.

Rob Holding
Left knee – anterior cruciate ligament injury. Surgical repair will take place later this week.

Shkodran Mustafi
Hamstring. Being assessed ahead of Qarabag (h) on Thursday, December 13.

Dinos Mavropanos
Groin injury. Expected to return to full training in December.

Danny Welbeck
Right ankle. Recovering after surgery.

 
Arsenal wana mpango wa kumsajijili beki wa kati mwezi Januari huku wakitafakari uwezekano wa kuwasajili kiungo wa Manchester United na nyota wa kimataifa wa Ivory Coast Eric Bailly, 24, nyota wa zamani wa kimataifa wa England Gary Cahill, 32, wa Chelsea na mlinzi wa Real Valladolid Fernando Calero, 23. (Mirror)

BBC SWAHILI
 
Kwenye interview yake juzi alisema klabu za pale pale Italy ndo zilikuwa zinatuma offer lakn summer ilipofika Arsenal walipotuma representative wao tu basi hapohapo kitu kikamjia kichwani kwamba muda wake wa kucheza italy umekwisha...ndipo alipoongea na Suarez nae suarez akamwambia klabu ya arsenal ndio itakufikisha unapotaka kufika...
 
Nilikua nna nzi wangu flani ni muajiliwa wa arsenal sema aliacha baadae alikua ananipa taarifa muhimu snaa
 
Nilikuwaga natamani sana kuona Kosc6 na Papa wakianza pamoja,,,,hope ntaenjoy combination ya bek zinazojua nn maana ya kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…