Arsenal (The Gunners) | Special Thread

9 wins on the bounce, je tuko vizuri sasa kupambana na wale top 4/5?!
Very interesting times at Arsenal..
 
Hivi Kuna anayeweza Kunipa Concrete reason Kwanini Kocha wenu Katika FXI Kamueka Juu Aubamyang ?
He's a striker, just a natural striker. Yeye kuwekwa pembeni ni kwa ajili ya kuwa-accomodate na Lacca, lakini ni striker mzuri tu.
 
Hongereni sana Arsenal,hivi ndio inatakiwa sio kocha mpya anakuja kwenye timu anaanza kuleta habari za nipeni muda natengeneza timu,timu ni matokeo uwanjani kama hivi,habari za kutengeneza nenda katengeneze magari
Aisee sipati picha mashetani wakikatiza kwetu na man city tukirudiana nao. Chelsea wao nawaambia ALKWISWASWA HAQUE kulipa kisasi ni sawa siyo dhambi.
Hatutaki dharau.
 
Hongereni sana Arsenal,hivi ndio inatakiwa sio kocha mpya anakuja kwenye timu anaanza kuleta habari za nipeni muda natengeneza timu,timu ni matokeo uwanjani kama hivi,habari za kutengeneza nenda katengeneze magari
Khe khe khe khe khe khe khe khe khe
khe
khe



Naona una matani na majogooo.
 
Aisee sipati picha mashetani wakikatiza kwetu na man city tukirudiana nao. Chelsea wao nawaambia ALKWISWASWA HAQUE kulipa kisasi ni sawa siyo dhambi.
Hatutaki dharau.
Sawa tusubiri hicho kisasi. Next game una Liverpool Kama sijakosea
 
Aisee sipati picha mashetani wakikatiza kwetu na man city tukirudiana nao. Chelsea wao nawaambia ALKWISWASWA HAQUE kulipa kisasi ni sawa siyo dhambi.
Hatutaki dharau.
Sawa tusubiri hicho kisasi. Next game una Liverpool Kama sijakosea
 
Huyu kocha wetu mzuri yeye haangalii sana ball possession yeye anachotaka ni matokeo tu
 
Sawa tusubiri hicho kisasi. Next game una Liverpool Kama sijakosea
Next nakutana na Leicester ambao waliwanyuka vigogo wote wakagonga mwamba kwa arsenal walipotwaa ubingwa. Nawakamua vizuri tu.
Liverpool hadi desemba ndo nawalipua na magobore yangu.
Nina kikosi kipana simwogopi mtu kila mchezaji arsenal sasa hv ana goli hadi mabeki sasa wataponea wapi.
Viungo bora wapo pale. Naomba NUMBISA awaletee clip za magoli ya leo nahisi mtahama timu zenu leo.
 
Game na liver n jmoc ya terehe 3 November
 

Nakubali Kuwa Timu yenu Ni Nzuri hasa Kwa Hizi Midtable Teams Munazokutana Nazo Kwani Kwa Top 6 mulishapoteza Mbili (vs Chelsea & vs Man City) lakini Ndugu Bado Ni Mapema Kutoa Majigambo.
Stahamili Kwanza Mpaka Angalau Huu Mzunguko Wa Kwanza Uishe
 
Basi niwatakie safari njema kwenye hizo game japo sio kazi ndogo
 
deal la mikhitarian na sanchez team zote zilipoteza na wachezaji waligain on salary loosing on the pitch
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…