Yani kumbe siku ile tumetoka kufungwa na man city kocha Emery kwa hasira kaongea nao wachezaji kawambia mmecheza tofauti na nilivotaka na kesho yake J3 kaomba gemu na crystal palace ambayo ilichezwa pasipo kutolewa taarifa yeyote...duuuh kumbe ndo mana J4 hawakwenda mazoezini