McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,388
- 7,552
JW10 anaingia nafasi ya Lacazette.
Naona Sikuhizi Wamekuachia Uzi Peke Yako!!!
Asanteni Kwa Kumpeleka Toni Kwenye Relegation Zone....
Ila timu haina consistency kabisa usishangae mechi ijayo tukafungwa hizo hizo 5!! We need changes kwakweliFT
Everton 2-5 Arsenal
3Pts muhimu sana,good thing Lacazette,Ozil na Sanchez wote wamefunga ila kitu kizuri zaidi JW10 katumia vizuri dakika alizopewa ame-assist ni burudani kuona tumeshinda.
We're famous Arsenal...
Ila timu haina consistency kabisa usishangae mechi ijayo tukafungwa hizo hizo 5!! We need changes kwakweli