Kukosa UEFA lazima iwaumize since your club ni ndogo sana. Sisi pamoja na kukosa UEFA lakini tuliweza kuwaleta world class players.Kukosa Champions League kuna athari nyingi.
Samahani mkuu uliangalia lile pambano vizuri!!!Alexis Sanchez hakuwa "full fit" hivyo angeingia kipindi cha pili hivyo kumwachia Lacazette aanze mechi kama siku ya kwanza dhidi ya Leicester.
Hivyo akamwambia Wenger kwamba anaweza kuanza mechi ilhali hayuko full fit.
Hizi timu huwa zina utaratibu uitwao "fitness test" kabla ya mechi yoyote ile hivyo mchezaji huweza kutoa maoni yake kwamba yupo fit na akapangwa kwenye mechi.
Kama si Alexis Sanchez Arsenal isingefungwa goli hizo nne bali kungekuwepo matokeo mengine tofauti.
Pili, Wenger alikosea kuanza na Nacho Monreal kama namba nne wakati inafahamika wazi kuwa Nacho Monreal ni beki wa kushoto na hawezi kucheza kama beki wa kati.
Hivyo hivyo kwa Robert Holding ambae badala ya kucheza namba 4 ambayo ndiyo aliyokuwa akichezea hata kule Bolton Wenger akampanga kucheza namba tatu yaani upande wa kushoto, wakati yupo beki Saed Kolasinac ambae alicheza vizuri dhidi ya Leicester.
Tatu, Wenger alianza na Ramsey kama DM defensive Midfielder badala ya Mohamed Elneny ambae katika mechi ya kwanza dhidi ya Leicester alianza na alicheza vizuri.
Wenger kwa sasa amesahau kabisa principles zake anapokuwa anatafuta ushindi na timu ya Arsenal ya leo si ile niliyoiona mwaka 2000 hadi 2004.
Na bodi ya Arsenal imekuwa ikimsikilza sana Arsene kwa kuwa tu anahakikisha Klabu inaingiza mapato yake ya kila mechi na yale ya masoko.
Ndiyo maana kunatakiwa mabadiliko makubwa kwenye klabu na mabadiliko hayo yatakuja lakini baada ya Wenger kuondoka.
Hiyo ya Lemar sidhani kama itatokea. Arsenal dishing out £92 million gonna be a miracle.Arsène Wenger:
2016: "£89m for Paul Pogba is completely crazy."
2017: Bids £92m for Thomas Lemar.
I really don't know what this old man smokes at Emirates everyday morning.
Tukubali kama wewe ni shareholder wa Arsenal sidhani kama matokeo uwanjani utayajali sana, kuna wakati shares zilikuwa zinauzwa £10,000, nilijilaumu kwa kuzaliwa maskini, Arsenal kifupi ni ATM kwa shareholder, inatema manoti tu kila mwaka..ni shimo lenye dhahabu na sio makinikia!Pamoja na matatizo mengi ya Wenger, Stan Kroenke anasemekana kuwa hajali ufanisi wa timu uwanjani, anachoangalia ni faida yake kimapato. Hata timu anazomiliki huko USA wanalalamika kuhusu ubahili wake na kuweka maslahi yake mbele. Huenda tatizo likawa Wenger+Kroenke.
Hiyo ya Lemar sidhani kama itatokea. Arsenal dishing out £92 million gonna be a miracle.
Yaani hii timu!! tumeshindwa kusajili zaidi ya Lacazette? Halafu tunategemea ushindani? Na tumeuza wengine!!
Baada ya mechi 19 (nusu msimu) nitafute nikupe "hongera" kama majogoo bado yatakuwa hayajanyonyolewa.Liverpool chini ya Klopp atabeba makombe!
Kwa wenger hakuna kombe hapo
Mm namsajili Lamar na Van Djiik wewe unamnyemelea kiungo mkabaji Onyankuru
Spain dirisha la usajiri linafungwa Leo, so endeleeni kujiandaa kisaikolojia lolote linaweza kutokeaKikeke yupo live fb anasema dirisha la usajili limefungwa na Sanchez kabaki aseno kotinyo kabaki liva mahrez hajulikani halipo
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Mahrez yupo stand by Barcelona wakishindwa coutinho wanamchukua yeye, Spain dirisha linafungwa leo, 24 hrs after ukKikeke yupo live fb anasema dirisha la usajili limefungwa na Sanchez kabaki aseno kotinyo kabaki liva mahrez hajulikani halipo
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
March nachukua EPLBaada ya mechi 19 (nusu msimu) nitafute nikupe "hongera" kama majogoo bado yatakuwa hayajanyonyolewa.
Huyo lemar mngemchukuaga zamn kinoma kipindi kile hata liva hawajaingilia dili mkaambiwa mtoe 60m mkashangaa shangaa
Sasa dogo amekataa maana kwanza kafikiria club haina vision
Pili he is too young to be stressed na kimavi kilichopo emirate
Nyie mkaombewe sio bure why always youooo
Akifungwa united Chelsea liva kelele hazizid siku tatu ila nyinyi kelele na michambo mwezi mzimaaa
Mnalo iloooooh limewafika hapoooo
Dogo lemar kaamua ajishuti kabla hamjamshuti