Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

a30fc9e4d831f01e1919d2b85f93615c.jpg
 
Kuna uwezekano hii ikawa mechi yangu ya mwisho kuitizama, wenger mngethe sana, anaapply theory zake za uchumi ktk timu yetu, baada ya kuchukua watu wa maana. Kuna mizigo anaing'ang'ania (chamberlain, welback, theo) sijui anachukua 10%, kama leo katumia mfumo wa ovyo kabisa, yaani mane na salah wanatiririka, ngojea nijipe likizo mpaka wenger, atakapoondoka naweza nikarudi, sizani kama kutakuwa mabadiliko yoyote
 
Kuna uwezekano hii ikawa mechi yangu ya mwisho kuitizama, wenger mngethe sana, anaapply theory zake za uchumi ktk timu yetu, baada ya kuchukua watu wa maana. Kuna mizigo anaing'ang'ania (chamberlain, welback, theo) sijui anachukua 10%, kama leo katumia mfumo wa ovyo kabisa, yaani mane na salah wanatiririka, ngojea nijipe likizo mpaka wenger, atakapoondoka naweza nikarudi, sizani kama kutakuwa mabadiliko yoyote
Kwani kuhamia mahali sh. Ngapi?

Hama kabisa mkuu..
 
Kuna uwezekano hii ikawa mechi yangu ya mwisho kuitizama, wenger mngethe sana, anaapply theory zake za uchumi ktk timu yetu, baada ya kuchukua watu wa maana. Kuna mizigo anaing'ang'ania (chamberlain, welback, theo) sijui anachukua 10%, kama leo katumia mfumo wa ovyo kabisa, yaani mane na salah wanatiririka, ngojea nijipe likizo mpaka wenger, atakapoondoka naweza nikarudi, sizani kama kutakuwa mabadiliko yoyote
Mkishinda mechi tatu against bottom clubs mnasahau kila kitu. Wenger anawajulia washabiki na management ya arsenal...
 
Arsenal fc timu yangu itakuja pata unafuu Wenger akiondoka, bado anatumia tactics alizokuwa anatumia akiwa na kina Ian Wrigjt, leo ni 2017, toka 2003 hizi tactics zimekuwa way ovedue ila kagangamala nazo na anategemea different results!
 
Mobdro mechi yaonyeshwa channel ipi

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Back
Top Bottom