Hizi nafasi tatu za wazi walizozipoteza itabidi kipindi cha pili kikianza wafunge goli vinginevyo Chelsea akisawazisha wanaweza kuvunjika moyo na Chelsea kuwashindilia magoli
Nampenda Wenger jaman,kimoyo safi kwa nguvu zote nawatakia heri zote angalau nanyi ndugu zangu msitoke kapa japo mtakuwa mmenizid mara moja McDonDonaldJr usiniangushe!!!!