Granit Xhaka amepiga pasi kwa usahihi katika michezo 4 iliyopita ya ligi kuu (EPL) kwa wastani wa 90%
89% vs West Ham
89% vs Palace
90% vs Boro
93% vs Leicester
Takwimu za Granit Xhaka katika mchezo dhidi ya Leicester city
Olivier Giroud ataachana na viatu vyake vya njano ambavyo vimezoeleka akionekana akichezea na atatumia venye mchanganyiko wa rangi nyekundu na nyeupe kwenye mchezo wa (north London derby) dhidi ya Tottenham,viatu hivyo vilivyotengenezwa na kampuni ya PUMA vimenakishiwa kwa nembo ya Gunners
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.