Arsenal (The Gunners) | Special Thread

FT
Arsenal 1-0 Lei
Important 3 Pts ingawa kwa mbindeeeee sana,thanks kwa Monreal naona bahati iko upande wake.
 
Granit Xhaka amepiga pasi kwa usahihi katika michezo 4 iliyopita ya ligi kuu (EPL) kwa wastani wa 90%
89% vs West Ham
89% vs Palace
90% vs Boro
93% vs Leicester

Takwimu za Granit Xhaka katika mchezo dhidi ya Leicester city

Granit Xhaka Vs Leicester
113 touches
93% pass accuracy
3 shots
3 tackles
1 interception
8 ball recoveries
cd98ef4cae7455fee329605f42da61f4.jpg
 
Olivier Giroud ataachana na viatu vyake vya njano ambavyo vimezoeleka akionekana akichezea na atatumia venye mchanganyiko wa rangi nyekundu na nyeupe kwenye mchezo wa (north London derby) dhidi ya Tottenham,viatu hivyo vilivyotengenezwa na kampuni ya PUMA vimenakishiwa kwa nembo ya Gunners
03726b92f167e8f5d8ba124fee0ea2c2.jpg
49e6f40e36bbac3810f4b9c60e67bfd9.jpg
eca14560cd4c9c2d82152be049a1b3ca.jpg
 
Duh pale white hart lane sio salama safari hii inabidi tukaze haswaaa tukiendelea kucheza kama game za nyuma tutaumia.
LONDON IS RED....COYG
 
Back
Top Bottom