Komaa Mzee Prof Wenger. Kwanza wewe ni Sharaholder, pia una Share hata Jina la klabu. Si mapimbi wengine wapiga filimbi. Wenger kama Magufuli kwa Makonda...
Komaa Mzee Prof Wenger. Kwanza wewe ni Sharaholder, pia una Share hata Jina la klabu. Si mapimbi wengine wapiga filimbi. Wenger kama Magufuli kwa Makonda...
I think arsenal fans are selfish, why would you want WENGER OUT? What about us the rival fans? do you even care to know what we want? WE LOVE HIM
[HASHTAG]#respect[/HASHTAG]
[HASHTAG]#inwengerwetrust[/HASHTAG]
*Mimi ni shabiki wa arsenal ninaejiamini, mimi huwa sipangiwi timu ya kushangilia na mtu, na hata siku nilipoanza kuishangilia arsenal sikutumwa na mtu, nilianza peke yangu, na mimi ndiye ninayeamua nishangilie arsenal lini na wapi. nasema hivi wenger piga kazi... pigaa kaazi.*
*Mimi ni shabiki wa arsenal ninaejiamini, mimi huwa sipangiwi timu ya kushangilia na mtu, na hata siku nilipoanza kuishangilia arsenal sikutumwa na mtu, nilianza peke yangu, na mimi ndiye ninayeamua nishangilie arsenal lini na wapi. nasema hivi wenger piga kazi... pigaa kaazi.*
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.