Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

ding dong...

arsenal-trying-to-defend-a-corner-lol.jpg
 
Komaa Mzee Prof Wenger. Kwanza wewe ni Sharaholder, pia una Share hata Jina la klabu. Si mapimbi wengine wapiga filimbi. Wenger kama Magufuli kwa Makonda...
 
I think arsenal fans are selfish, why would you want WENGER OUT? What about us the rival fans? do you even care to know what we want? WE LOVE HIM
[HASHTAG]#respect[/HASHTAG]
[HASHTAG]#inwengerwetrust[/HASHTAG]
 
we love you wenger, umefanya mashabiki maandazi wakimbie jukwaa wengine wameanza kutafuta timu za kuhamia
a981ac4c3a6f5fca257fc682d6eaa5cb.jpg
c7d41552cfb5f5fdb826a11880ca6821.jpg
ec8d2f37c3a16dd1ffcf65eeda95cf2d.jpg
 
hili ONYO anatakiwa kupewa kiumbe yeyote mwenyewe anataka kuanza kushabikia arsenal
d9cf252292e57c5bfb33b664591727bf.jpg
 
YEAR 2045

Wenger & his assistant manager olivier giroud on their way to manage arsenal's opening match in league 2
4066de15bc2cdcfd6600ff93a1d03e2c.jpg
 
*Mimi ni shabiki wa arsenal ninaejiamini, mimi huwa sipangiwi timu ya kushangilia na mtu, na hata siku nilipoanza kuishangilia arsenal sikutumwa na mtu, nilianza peke yangu, na mimi ndiye ninayeamua nishangilie arsenal lini na wapi. nasema hivi wenger piga kazi... pigaa kaazi.*
 
Hodi humu ndani?
Wenyeji? Mko wapi?

*Mimi ni shabiki wa arsenal ninaejiamini, mimi huwa sipangiwi timu ya kushangilia na mtu, na hata siku nilipoanza kuishangilia arsenal sikutumwa na mtu, nilianza peke yangu, na mimi ndiye ninayeamua nishangilie arsenal lini na wapi. nasema hivi wenger piga kazi... pigaa kaazi.*
 
Back
Top Bottom