Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wasipomuondoa mwisho wa msimu basi wamiliki wa timu wakapimwe akili zao.

Msiogope kumuondoa Wenger
Ije idea mpya
Sisi tunaona progress,akileta tu beki mbili za maana kati na mido kabaji ya ukweli tuta challenge ubingwa
 
This old fella is really a pain in the ass. Halafu kitu kibaya zaidi ni kwamba huyu mzee hana hata chembe ya soni. Mzee Wenger pack your bags and leave the club alone, ASAP! Hujishtukii mzee! Khaaaa! F*ck off!
 
Ni bora aje kocha mpya na nitakubaliana na matokeo yoyote either positive or negative huku nikirespect juhudi zinazofanywa na klabu kujikwamua kutoka kwenye mediocrity tunayoi-experience kwasasa. Huyu mzee aondoke tu haiwezekani kila siku ikawa ni mambo yaleyaleee. Same old shit, just a different day!
 
Wenger in ...Wenger in babu ng'ang'ania hatutaki upinzani wakiboya kaza hapohapo .timu inatamkwa kama jina lako la kwanza kaza baba sisi tu enjoy wepesi wa vikombe,top four inakutosha kaza baba Chelsea tuko nyuma yako.
 
Sisi bado tunamuhitaji,tunaomba asaini mkataba mpya
 
Sisi bado tunamuhitaji,tunaomba asaini mkataba mpya

Hivi Wenger alimweka bench Sanchez kwa sababu gani hasa?

Kwa ajili ya mechi ya Buyern Munich?

That was madness.
 
Anataka arudishe zile goli tano za Bayern.
 
Hivi Wenger alimweka bench Sanchez kwa sababu gani hasa?

Kwa ajili ya mechi ya Buyern Munich?

That was madness.
Kuna habari kuwa Wenger aligombana na Sanchez katikati ya wiki
 
Eti naskia ile Jana arsenal alikuwa anafanyiwa send off jumanne ndo harusi moja kwa moja
 
Mmeanza kumchokoza mzee wa watu ...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…