Vipi ameshasaini au kalamu imegoma?
Huyu Mzee apumzike tu, mbinu zimeshamwacha mkono. Sio kama hana wachezaji, wachezaji wake ndio wanamwangusha, wengi ni kama mrenda(bamia) anatakiwa awapeleke wachezaji wake kufanya mazoezi na timu za Rugby au mieleka.
Mourinho ni mtu pekee mwenye furaha anapomuona Wenger.