Refa aliwazawadia goli la tatu kwa sababu Belerin alisukumwa ...... . hata hivyo si haba naona Mashabiki wa Manure wamekimbia aibu! Final score 3 - 3 Haters wote wamekimbia pamoja na matusi kazi kubwa. Ding ... Dong [HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]
Sisi tunaamini katika ubingwa hatuwafukuzi arsenal wala liver, hawa tunajua ni wasindikizaji tu, sisi tunamfocus alie kileleni
Pigia mstari hayo maneno yangu