Kwiiii kwiiiiii kwiiiiii kwiiiiii kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kumbe ndio mnakuwaga wapole hivi kwiiiiii kwiiiiii kwiiiiii kwiiiiii kwiiiiii kwiiiiii kwiiiiii mpira unafundishwa colney ila magoli utayakuta evertonView attachment 446300
OG signs new contract .... ... ...
View attachment 446301
Coquelin also signs new deal .... ... . Ding ... Dong
pole zake ndiyo mpira.Amenuna
Kwa mashabiki wote wa soka tumekutana hapa JF tukibadilishana habari mbalimbali tunapongezana na kutaniana kuhusu timu tunazoshabikia ,now mmoja ya waasisi wa kijiwe chetu ambacho tunakutana hapa anashikiliwa na polisi.Tujitokeze kupaza sauti zetu kulaani huu unyanyasaji anaofanyiwa tusikae kimya kwenye hili tuendelee kupaza sauti kwenye mitandao yote ya kijamii(Facebook,Twitter,Instagram nk ) kulaani unyanyasaji huu.Tutumie hashtag [HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
Mara ya mwisho kufika final ya champions ni lini !? ....naona mpo bize tu kupanda ndege ! Bora hizo timu mngekuwa mnazialika emirate kucheza nao friend match na mkasave nauliWakuu wa Gunners mambo hadi hivi sasa yanaendelea katika hatua nzuri sana ya kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kupambana katika mashindano yote. Msione Vi-mburukenge vinajazana humu vinafahamu muziki wetu .... ... Ding ... Dong. Vingine hata Ali Hamisi vinaona kwenye ooops vinaisikia kwenye luninga tu khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kuchumbia sana sio kuoa inawahusu sana majirani zetu hawaMara ya mwisho kufika final ya champions ni lini !? ....naona mpo bize tu kupanda ndege ! Bora hizo timu mngekuwa mnazialika emirate kucheza nao friend match na mkasave nauli
Wivu unakusumbua hulali wala kula kisa Gunners wanacheza mpira kuizidi timu yako ya vichochoroni khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.Mara ya mwisho kufika final ya champions ni lini !? ....naona mpo bize tu kupanda ndege ! Bora hizo timu mngekuwa mnazialika emirate kucheza nao friend match na mkasave nauli
This is a really joke now. Arsenal can't steel a cup.
Wacha kujipendekeza pendeza timu yako mbovu subiri majuto mjukuu khe ke kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mechi yetu saa kumi njoouone magoli tutakayomzibua nayo Pepsi ... .... . he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeMbona pamepoa sana humu. Wacha 1 upo wapi. Mim jana tayri nimeokota point 3. Vip utachomoa kwa sity leo au mtagawana 1 moja