Timu kwa sasa inabalansi ya kutosha japokua kuna uzembe mdogomdogo katika ukabaji ndani ya box kwani mara kadhaa tunatoa penati laini ama kufungwa magoli ndani ya box kwa kukosa umakini katika kuondosha mipira.
Patnashipu ya Coq. na Xhaka ina matokeo chanya zaidi kuliko akicheza Elneny.
Tukiepuka majeruhi msimu huu kitaeleweka tu!
You call pessimism I call cautious look, mkuu. Kumbuka nilipost kabla ya mechi na anything can happen mpira ukishaanza. Stoke City ni timu moja inayotupaga wakati mgumu, nadhani unalijua hilo. It's easy kuwa "in know " baada ya kushinda/kufungwa
Champions League draw in next 40 minutes. Exclusive for best teams . You the midtable teams stay away. The children table aka Thursday night football people is over the next door
Manchester City vs Monaco
Real Madrid vs Napoli
Benfica vs Borussia Dortmund
Bayern Munich vs Arsenal
Porto vs JuventusBayer
Leverkusen vs Atletico Madrid
Paris Saint-Germain vs Barcelona
Sevilla vs Leicester City